Nadhan wewe bado hujaguswa. Nadhani wewe sio miongoni mwa graduates ambao tola last year wamekuwa wakisubiria hizo ajira za serikali; nadhan wewe sio miongoni mwa vijana waishio mjini ambao hali zao za kibiashara zinazidi kwenda kombo;nadhani wewe sio miongoni mwa wakulima ambao bei ya mazao...
Nadhan hatutaelewana . Kwanza kabisa mimi sijifananishi na Mungu halafu kwa uelewa wako Hivi unadhani Mungu hakujua kwamba siku mojq shetani atakuja kubadilika toka mwanzo? Yani, kipindi ile anamsifu (shetan anasifiwa) , Mungu hakujua atabadilika? Kama hakujua "Sawa" ila suala la mjuzi wa yote...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] inahitaji ujasiri kufanya mambo hayo sana mana sio tu unadanganya wengine bali unajidanganya mpk ww mwenyewe. Hujawah hata kusikia sauti ya mungu wala malaika halafu unajitokeza hadharani kabisa na kusema yupo...
Hata Rene Descartes alifeli katika hilo la kujidai eti "Kisa nauliza swali au nafikiria kitu basi kipo (exist)". What if I think He isnot exist,will it make that to be True kwamba Mungu hayupo?
Mbele ya mchongaji, kinyago ni kinyago tu, iwe kinapinga au hakipingi uwepo wake.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Jamaaa umepigilia msumari zaidi.
Ukisoma African Tradition Religions (ATR) hususani za kule West Africans kama za Yoruba wanasema eti "Mungu aliamua kwenda mafichoni baada ya kuona binadam wengi wanamsumbua sana kila saaa, kila mara basi makundi ya watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.