Bei ya mpunga na mahindi kwa sasa ipi?wapi?

Malingumu

JF-Expert Member
Apr 5, 2012
616
429
Habarini... jamani mwenye uelewa kuhusu bei ya chini zaidi ya gunia la mahindi au/na mpunga kwa mkoa wowote naomba anijulishe,ninataka fanya uhifadhi wa tani kadhaa kwa sasa,hivyo nikinunua mahala kwa bei rahisi kidogo itafaa..

Karibuni....
 
Habarini... jamani mwenye uelewa kuhusu bei ya chini zaidi ya gunia la mahindi au/na mpunga kwa mkoa wowote naomba anijulishe,ninataka fanya uhifadhi wa tani kadhaa kwa sasa,hivyo nikinunua mahala kwa bei rahisi kidogo itafaa..

Karibuni....
Mpunga elfu 60000 Morogoro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom