Mbona hawajii?Subiri waje mkuu.
Watakujuza
...Turiani huku wilaya ya Mvomero debe mahindi mapya ni elfu 7. Mchele mashine sh 1300 - 1500 kilo moja super.Mbona hawajii?
Mpunga elfu 60000 MorogoroHabarini... jamani mwenye uelewa kuhusu bei ya chini zaidi ya gunia la mahindi au/na mpunga kwa mkoa wowote naomba anijulishe,ninataka fanya uhifadhi wa tani kadhaa kwa sasa,hivyo nikinunua mahala kwa bei rahisi kidogo itafaa..
Karibuni....