Kwanza kuhusu mababu zetu mtu wa mwanzo ni Adam nae alikuwa na mfumo wa ibada hivyo wa mwanzo aliyemfuata adam ndio mfumo wake huo utakaomuokoa na moto
2. Kuhusu Mungu kutuumba na kutujua mwisho wetu kwann wengine moton na wengin hawataingia moton Mungu kila kitu anakicontrol ila kimoja tu...
Uhuni ni kufanya jambo lisiloendana na mila na desturi ya jamii hiyo so si kila kinachofanywa na wazungu sio uhuni kwa Waafrika maana mila na desturi ni tofauti Mfano jamii ya King Mswati mavazi yao si uhuni kwao ila kwa Tanzania SIJUI UTAITWAJE
Kuna maeneo niliwahifika yapo kaskazini ya kisiwa Nungwi, Kiwengwa na Matemwe na Kusini Kizimkazi ni kuzuri ww nadhan ulifika pale wanapaita Forodhan ukaona ndo apo apo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.