Mwalimu huyu wa lugha ni balaa

Mwalimu huyu wa lugha ni balaa

busy bees

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2016
Posts
2,249
Reaction score
1,348
876866121.jpeg
Wataalamu wa lugha ya Kiswahili njoon huku mtujuze kuhusu hiyo ISTILAHI "KIFYONZEO" maana mie nimebaki kizani [emoji1] [emoji1] [emoji28] [emoji28] [emoji3] [emoji3]
 
Nadhani ni mrija wa kunywia mfano juice maana flash ni kinyonyeo au kinyonyo
Kifyonzeo linatokana ña neno Fyonza wengine husema fyonya , kwa hiyo hapo anaamanisha kitu mbadala kitumikacho kufyonza
 
View attachment 484081Wataalamu wa lugha ya Kiswahili njoon huku mtujuze kuhusu hiyo ISTILAHI "KIFYONZEO" maana mie nimebaki kizani [emoji1] [emoji1] [emoji28] [emoji28] [emoji3] [emoji3]
"Cjui teacher anaongea kilugha ....? labda anaongea na simu ..." [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom