Watu wanajisahau kwa kulewa madalaka pasipo kujua ni kido za watanzanua tena wa hali ya chini zinazo walipa wao na kuota mivitambi alafu wanashindwa kuwatumikia maboss wao ila wanamtumikia huyo mungu mtu wao. Yan mungu na ajidhihilishe juu yao kwa njia ya fundisho ili iwe funzo kwa wengne
Kila maamuz ya mtuu yanamaana fulan kwakwe so usitake nifanye vile ww unawaza haujui maana halis kwangu pia uhuru wa kuwaza nakupa niwazie vyvyte upendavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.