Hapo bado hakijaeleweka, wanasema isijihusishe na makosa ya madai wakati mahakama ya Kadhi inahitajika ili ishughulikie hayo makosa ya madai ambayo waislam wenyewe wanahitaji yashughulikiwe kwa upande wao.
Duh, yani naona watu wapya tuu wanachangia ila wakati wa regular season hawaonekani, ebanae mnakuwaga wapi?
Hao wote wamefurahisha soka zuri lililoonyeshwa na Barca.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.