moja ya watu ninaowakumbuka sana kwa kuja na jinsia mbili, hahaaaaa!!! matata kweli kweli!!!
ila mpongezeni ki-HE au ki-SHE!!
BTW FL1 ukipeleka gift pitia na yangu plz!!!
Jamani Mola kanijalia mtoto wa kiume anafanana na baba yake na babu yake sijui kama tabia zitafanana na baba yake na babu yake, pia nimempa jina la babu yake sijui atakuwa na tabia za babu yake kilaji na totos kwa sana
Asanteni wale wote mtakaonipa pongezi
ila hakutwambia tumfanyie baby shower
KWANZA Hongera SANA.
kUNA JAMBO MOJA NATAKA UJUE TANGU SASA...
Kama babu zake walikuwa na tabia zisizo nzuri, basi kwa imani yako vunja laana za mababu ili zisimfuate mtoto.
Mwombee mtoto awe na tabia njema na hekima, achana kufuatiliza mambo ya kale ya mabibi na mababu, hayatamsaidia lolote mtoto zaidi ya kumlemaza!
Tunavyoamini kisayansi ni kwamba mtoto anazaliw akiwa empty kichwani, na anaanza ku'store kile utakachomfunza wewe...sasa ni wewe against him...mlee awe unavyotaka, BASI!
congrats ngomanzito. Thank God umetoka salama, maana labor ni nusu kifo.