Mtoto wa Kishua
JF-Expert Member
- Oct 15, 2009
- 834
- 151
Nakumbuka nilipo kua primary school ,tulikua tunaandika mji wa Dar kama Dar-EL-Salaam , ila na shangaa baadae inakuja kuandikwa Dar-es-Salaam ipi ni sahihi wadau ?
Sawa, ila nakumbuka nikiwa shule miaka ya 80's ,tulikua tunaandika Dar-El-Salaam , nadhani ndio sahihi , hii Dar-Es-Salaam imekuja baada ya wengi kushindwa kupronounce "L" na ndipo ikabadilika.
Trust me ndivyo ilikua inaandikwa enzi hizo!
Nakumbuka nilipo kua primary school ,tulikua tunaandika mji wa Dar kama Dar-EL-Salaam , ila na shangaa baadae inakuja kuandikwa Dar-es-Salaam ipi ni sahihi wadau ?