Hivi kwa mfano yuke jamaaa wa Kenya alie shida dola 221m ambazo ni tsh 4.8 bilioni za kitanzania yeye alibeti kupitia mtandao upiii maana m-bet na meridian hawana hizo betting za hela nying
Mimi tangu nianze kuomba misaada ya kielimu humu ndani sijawahi kusaidiwa hata kidogo mfano kuna siku niliomba mwenyewe ana Link ya vitabu vya CPA mpaka Leo kimya na members wapo tuu pia niliomba mwenyewe ana maswali ya CPA ya kuhusu bonds kimya.
Ila MTU akianzisha tuu Uzi wa kumponda kiongozi...
Walalamike nini wakati dar kwa sasa kaifanya iwe vizuri wewe unatokea mkoa gani wa dar hatuwezi lalamika kwasababu hakuna kibaya zaidi alicho kitenda bwana kuhusu ufaulu wake ni siri yake maana matokeo ndo maana yanaandikwa Namba na sio majina serikali inalijua hilo
Mimi mniache watu wanakimbilia ukuu wa nchi ili kujilimbikizia Mali sasa huyu jama hataki madawa ya kulevya watu kinawauma kafuta viroba watu mihemuko bac mkulu ruhusu watu walale bila kupiga kazi pengine watakuona mzuri mijitu imekaa tuu hailimi eti njaa sawa tu kufeni sisi twala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.