Silkiliza kati ya 1:20:00 na 1:22:00. Sentensi yako ya mwisho, "Tanzania imepatwa na uwendawazimu" umeielekeza kwa mtanzania yupi?.
Nani wamkamate hana Uwezo wa Kumkamata Jambazi anayemtuma Kila mahali anikamate mimi? Nafikiri mi unaniona tu Kwenye screen, Nikiwa Live ninatisha!Mkuu jiandae kukamatwa.
Marandu safi sana!!! Kila nikitafakari sipati jibu about our mukulu!!!!Gwajima Ni rafiki yangu Lakini na Yeye alihusika Kupiga Debe ati Kikwete Amwachie Magufuli Umwenyekiti sooner! Nilishangaa sana kwa Kuwa nilishamwona Magufuli , Na hata baada ya Kutajwa na Makonda Kama Muuza Madawa Rafiki yangu Gwajima akamtetea Magufuli, Nilisikitika sana, Mimi hiyo Picha niliistukia mapema, Ilikuwa ni Siasa chafu za Kuwaandama Potential Saporters wa Lowassa 2020. Kwa kutumia Kisingizio cha Vita za Madawa. Ni kama Kuwaua Chui na Paka ukisingizia wamekula kuku wako, Paka sawa Kuku kala ila Chui ulimsingizia kumuaa lakini kesho tunakuona Umevaa koti la Ngozi ya Chui, Hii ni Fulsafa-hila ya zamani sana Half ya truth! The Guy ni Mnafiki Unafiki wake Unazidi harufu ya Maiti iliyooza.
Nikisikia Kila Mara akisema Msema kweli ni Mpenzi wa Mungu natamani Kutapika. In short Magufuli nimemdharau kama . Anafikiri kw Kufanya Mema mawili matatu tena Kwa nia ya Kujitafulia sifa basi Mshahara Tunaompa hautoshi bali Tunatakiwa Tumlipe kwa sarafu ya Uhuru wetu, Amani Yetu na Demokrasia yetu. Isitoshe zulia Jekundu analowekewa mara kadhaa halimtoshi bali anataka Tumpe Katiba yetu na Sheria zetu ndio liwe Zulia Lake. Enough is Enough!
raisi akipata uchizi katiba inasema nini? tujiandae........?????
SawaNani wamkamate hana Uwezo wa Kumkamata Jambazi anayemtuma Kila mahali anikamate mimi? Nafikiri mi unaniona tu Kwenye screen, Nikiwa Live ninatisha!
Anawaza kwa kutumia bashiteHuyo mkuu sijui anawazaga kwa kutumia nini tu!!
Nafikiri We are beyond that Now! Mtu atapata Uchizi Mara Ngapi Kama anaropoka Kama aliyemeza Kengele ya Kuchungia Punda, Akimwambia Jambazi, " Wewe chapa Kazi" Kwa hiyo ni Wazi Kuwa ndiye anayemtuma, Hata wale Askari waliokuwa wamevaa Makirikiri walikuwa ni Askari wa Kikosi Maalum (Secret Services) Cha Kumlinda Rais. Na akiongea na Diamond wakati Fulani alishakiri anaipenda Shilawadu, Usishangae kuwa siku hiyo ndiye aliyemtuma Bashite akachukue ile Flush na aipeleke Redio CCM!. Mimi Nafikiri Gwajima awashitaki Redio Uhuru- Aka Radio CCM awadai kama Tsh. Bilion 700 hivi kiasi Fulani kama Fidia na Kiasi Kingine kama adhabu na Onyo kwa Wengine. Na Kisha Amshitaki Bashite kwa Kiasi cha Bilioni 900 hivi Afilisiwe Mpaka Matako yake! au BF wake amlipie!raisi akipata uchizi katiba inasema nini? tujiandae........?????
Bank ya Dunia inamilikiwa na wakubwa na hasa Marekani.Kasema kapewa namba binafsi ya simu ya Rais wa benki ya dunia, na kutoa ahadi kuwa atamsumbua sana kuhusu maendeleo.
Maswali: 1. hivi benki ya dunia hawana governance, na mambo yao kuamuliwa na team? Hivi misaada na mikopo ya benki ya dunia haiangalii democracy? Hivi wadau wakubwa wa benki ya dunia anawafahamu?