Haupo serious kabisa ...huwezi fanya tafiti alafu unakuja mbele za watu alafu unatumia lugha kama ''asilimia kubwa ''....kuwa precise...rudi kafanye research
Ninacho maanisha bwana brighton ni kwamba kina vitu vya msingi mtu kama mtu unaweza kufanya...na unaiacha serikali ifanye mengine....sasa ndugu yetu asingetumia mfano wa choo, angetumia mifano mingine...ukisubiria serikali ukichimbie choo ambacho wewe unajisaidia...mtu wa namna hio anaweza...
Ninaomba mtu anayejua kuhusu hili zao anipe details zote kuhusu ili zao kama misimu capital faida challenges na kama eneo la Ruvu linafaa kwa hiki kilimo, madawa n.k kwasababu ningependa kufanya hiki kilimo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.