Message from Juma Mwapachu

Message from Juma Mwapachu

Nyote Walewale Mlotufikisha Hapa Tulipo Leo,Mmeona Mgeukie Upande Wa Pili Mje Mkamue Na Machicha Kabisa.
 
Thank for your message and advice. This is to assure you that Lowassa is the fifth President of the United Republic of Tanzania as from 26th October, 2015.
 
"They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions".....hahaha haya ni Matusi ati asante Mzee Mwapachu halafu watu wa aina yako mnaitwa Makapi au Oil chafu seriously ???
January mtafute huyu Mzee japo kwa ushauri tu na hakika atakuasaidia japo kuelewa kwanini mlishindwa kwenye premature presidential ambitions ..
Kwa maneno Mengine January wewe ni kilaza halafu ndio intellectual unayetegemewa na Ccm
Mwapachu anachuki binafsi na kuona kijana mdogo kama January anafanikiwa zaidi kuliko yeye au hata watoto wake,hebu tuambie vyeo alivyoshika Mwapachu serikalini na kwenye CCM na ulinganishe na vyeo au kazi alizofanya January kwenye serikali na CCM,na mwenye uthubutu kati ya hao wawili,January kaweka historia katika maisha yake ambayo Mwapachu na huyo Lowassa wataota tu ,January amefika nafasi 5 bora za wagaombea uraisi wakati Mwapachu au Lowassa hawajawai ,kwa hiyo January pamoja na ujana wake kamfunika babu Mwapachu hana cha kujifunza kwake,atajifunza nini?January amewahi kuwa mwandishi wa hotuba wa raisi ,wakati Mwapachu alikuwa JV,January kawa Mnec,wakati Mwapachu kawa mwanachama wa kawaida tu,January amekuwa Naibu waziri wakati Mwapachu kawa balozi,sasa kipi January cha kumfuata huyu Mwapachu,au afundishwe jinsi ya kuwa bepari.
 
Mwapachu anachuki binafsi na kuona kijana mdogo kama January anafanikiwa zaidi kuliko yeye au hata watoto wake,hebu tuambie vyeo alivyoshika Mwapachu serikalini na kwenye CCM na ulinganishe na vyeo au kazi alizofanya January kwenye serikali na CCM,na mwenye uthubutu kati ya hao wawili,January kaweka historia katika maisha yake ambayo Mwapachu na huyo Lowassa wataota tu ,January amefika nafasi 5 bora za wagaombea uraisi wakati Mwapachu au Lowassa hawajawai ,kwa hiyo January pamoja na ujana wake kamfunika babu Mwapachu hana cha kujifunza kwake,atajifunza nini?January amewahi kuwa mwandishi wa hotuba wa raisi ,wakati Mwapachu alikuwa JV,January kawa Mnec,wakati Mwapachu kawa mwanachama wa kawaida tu,January amekuwa Naibu waziri wakati Mwapachu kawa balozi,sasa kipi January cha kumfuata huyu Mwapachu,au afundishwe jinsi ya kuwa bepari.

Unanichosha kusoma pumba yote hii
Kaungane na January na wewe ubebwe kwa mbeleko ya baba yake na Jakaya
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country



Jamani wengine bakini huko huko ccm mbona hamkuhama toka mwanzo kama mnadhamira ya kweli ya kuwatetea watz, wengine mmeona kwa kuwa mnataka kustaafu eti mnahama chama, jqmani kuna watu wameipigania chadema ndio maana mnaona matunda yake kwa leo eti leo unahama unakuja na bwebwe huo ni upuuzi wengine bakini huko huko
 
Hivi anadhani sisi wapiga kura hiyo lugha yake tunaielewa, katusomesha?

Lowassa ni Fisadi na hatakaa aache ufisadi.
kama huielewi mbona umejibu?? matusi ya nini?? Lowasakama nifisad si uonyeshe?? Lowasa is our next president. Hatuwezi kumpa mtu ambaye hakuwahi kufikiria kuwa rais.
 
kama huielewi mbona umejibu?? matusi ya nini?? Lowasakama nifisad si uonyeshe?? Lowasa is our next president. Hatuwezi kumpa mtu ambaye hakuwahi kufikiria kuwa rais.

Mkuu umetokea wapi, maana kasi yako ya maswali si mchezo.

Kuna mahali nimetukana?
 
Juma Mwapachu is a 73 year old man who is only known in top government official circles.He is not known by CCM members.So we don`t even feel his absence.What he has written has no weight in the hearts of many Tanzania voters because they don`t know him or his high life living styles.

Unfortunately, it has weight and i have decided that i am going to vote for Lowassa
 
Unanichosha kusoma pumba yote hii
Kaungane na January na wewe ubebwe kwa mbeleko ya baba yake na Jakaya
Shida ni kuwa malofa hampendi kusoma issues,bali kama manyumbu mnapenda kufuata tu bila kutafakari
 
Shida ni kuwa malofa hampendi kusoma issues,bali kama manyumbu mnapenda kufuata tu bila kutafakari

Hongera wewe mwerevu unayejua kusoma issues na kutafakari ,Ni mwana Ccm pekee ndie anajua kusoma issues or else kuwasiliana na wagonjwa ICU kwa email
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country


I salute you :A S 103::A S 103::A S 103:

It is Well said, and I embrace your words.

I don't care, no matter Mr. Lowassa brings changes or not, still I will vote for him.
My desire is to see CCM is no longer in power. I think most of Tanzanians (including me) are tired of the poverty which was created by CCM as its own political strategy.
CCM has failed, there is no way it can fulfill our desires and meet our expectations.

I urge my fellow Tanzanians to put CCM aside through their ballots.

The time for change is now.
 
I think this man should speak these words in public. Mwapachu is a political technician. He knows in and out of Lowasa and CCM. I believe can prove to us that Lowassa is an ideal president of Tanzania.
 
Ccm itaendelea kutawala watanzania sio wajinga kama mnavyofikiria
 
Juma Mwapachu is a 73 year old man who is only known in top government official circles.He is not known by CCM members.So we don`t even feel his absence.What he has written has no weight in the hearts of many Tanzania voters because they don`t know him or his high life living styles.

majibu ya mkosaji sungura alipokosa zile ndizi alisema hazifai
ni mpumbavu kama wewe anayeshabikia kuipoteza kura moja
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country



Not expected from Amb. Mwapachu, a person I have witnessed praising the Government of the URT, when working with the Community. There must be something grossly wrong somewhere in his statements as I do not believe in a person who changes his words like a chameleon changing skin colour. I am considering him somehow ambitious looking foward for a position in EL Govt.? So what he need to do is SAY WHAT EL and CHADEMA want to hear and not what he believes. Its my opinion
 
Usimlaumu yeye kwa kutokusoma kwako kilaumu Chama cha Mapinduzi!
Nawashangaaga sana mazombie kama wewe.....unakiri hujasoma then unaung'ang'ania mfumo mbovu ulokuweka hapo katika dimbwi la umaskini, ujinga na maradhi!
AMKA ndugu yangu!
Mfumo mbovu ukiongozwa na mafisadi papa, najua unawajua
 
Laumu CCM kukufanya kilaza, NUSU MFU... dead walking man..🐙

So, hata mgombea wako, hajui what is written here..!! So, upo kama haupo, haupo kama upo..!!! Ndio CCM imekufanyia UFIRAUNI... usha chafukwa, kazi kukariri tu..!!!

Lowassa is the next President..!!!
Mbona maneno kila sik7
 
My dear friends, UKAWA and Lowassa supporters. We have five days to go before the election of our lives. We are all mobilised and galvanised to vote CCM out of power.

Our resolve and commitment is to change a government that has failed to transform our lives. We need a new government better able to deliver on our wishes and expectations.Edward Ngoyai Lowassa is the person to transform our miserable lives; to bring happy faces to us and our families. January Makamba has published an article in the Mail and Guardian of South Africa malagning Lowassa and accusing him in subtle ways of corruption.

We are not stupid not to flesh out his desperate manoeuvre to distort facts about the Richmond issue and in trying to criticise the opposition for embracing Lowassa ostensibly in contradiction to its stand on Lowassa in 2007.

CCM lacks the effective ammunition to knock Lowassa done. Majority Tanzanians are decided on Lowassa as their next President. They will not be moved by silly and unfounded smear from pedestrian politicians like January Makamba who still fail to understand why they never made it in their premature Presidential ambitions.

Tanzanians love Lowassa because they are satisfied of his leadership experience and capabilities. They trust him and trust his guts. They adore the sanctity of his marriage life. Lowassa is not corrupt; there has been no evidence to justify any of the accusations levelled against him.

He did not resign as Prime Minister early in 2008 on corruption charges. Re-read the Mwakyembe report. The opposition has already shown regret for its 'List of Shame' Mr Makamba. They put Lowassa's name in the list in 2007 as part of politics against CCM.

On Sunday 25 th October Tanzanians will make history by electing Lowassa their new President. It is so decided and Almighty God will ensure an election free of rigging so notoriously practised in our country


Hivi huyu mzee mwapachu ni mtanzania kweliii....???

Post zake zotee huwa ni za kiingereza hata facebook page yakee...au huwa anawaandikia wakoloni waoo huko nje....pole mzee wangu lugha yako hatuielewii..wewe endelea nayoo tuu..

Majibu utayapata Jumapilii....
 
Back
Top Bottom