Mtandao wa Smart Wamekuja Na hii, bundle za kutosha

Mtandao wa Smart Wamekuja Na hii, bundle za kutosha

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,446
Tsh 390 unapata 1GB
Tsh 890 unapata 2GB

1444937388280.jpg

Hope Itakuwa Poa Ila ni Weekend Tu Kuanzia Ijumaa Mpk Jumapili

****UPDATE*****

PIA WAMEKUJA NA FACEBOOK YA BUREEE
 
wazee wa halotel wako wapi?!! kwani kuna watu humu wali ipa promo balaa kuwa imekuja kuua makampuni mengine, kumbe si lolote naona kama imekufa hata kabla haijaanza.
 
wazee wa halotel wako wapi?!! kwani kuna watu humu wali ipa promo balaa kuwa imekuja kuua makampuni mengine, kumbe si lolote naona kama imekufa hata kabla haijaanza.

Kwanini unasema Halotel imekufa kabla haijaanza?
 
vinatumika hadi 4g? nikijiunga ijumaa hadi jumapili? kifurush naweza jiunga zaidi ya mara moja? kama wametick hivi vitu ni offer nzuri
 
wazee wa halotel wako wapi?!! kwani kuna watu humu wali ipa promo balaa kuwa imekuja kuua makampuni mengine, kumbe si lolote naona kama imekufa hata kabla haijaanza.



jamaa speed zao matata. ..I hope wataweka sawa tu gharama...kwa speed usifananishe na hawa wakongwe kabisa.
 
jamaa speed zao matata. ..I hope wataweka sawa tu gharama...kwa speed usifananishe na hawa wakongwe kabisa.

utapimaje speed bila ya watu? hii mitandao speed inashuka kutokana na idadi wa watu sababu ni speed ni shared na sio dedicated.

eneo ninaloishi kupata 10mbps tigo ni kitu cha kawaida tu ila kuna maeneo mengine hata picha ya whatsapp huwezi tuma.
 
utapimaje speed bila ya watu? hii mitandao speed inashuka kutokana na idadi wa watu sababu ni speed ni shared na sio dedicated.

eneo ninaloishi kupata 10mbps tigo ni kitu cha kawaida tu ila kuna maeneo mengine hata picha ya whatsapp huwezi tuma.

Mbona in the west kuna watu wengi na spidi ya intanet ni fasta...achana hata na west....hata china...population kubwa ila intanet tres bien
 
Mbona in the west kuna watu wengi na spidi ya intanet ni fasta...achana hata na west....hata china...population kubwa ila intanet tres bien

1. internet zao nyingi wanauziwa kwa speed na sio vifurushi tu, ukiambiwa kifurushi cha 25mbps na ukapata 2mbps una haki ya ya kushitaki

2. hawatumii mobile data sana wengi ni broadband, mobile data hutumika matumizi machache na vifurushi ni bei ghali

sisi internet zetu ni gombania goli, mkiekewa kwenye mji bandwitch ya 1gbps na mpo kibao shauri yenu hata mpate 50kbps hakuna anaejali.

tanzania isp wanaotoa dedicated speed ni kama simbanet wakikupa 5mbps ujue ndio hio hio hata muwe wateja milioni kila mtu atapewa 5mbps yake
 
1. internet zao nyingi wanauziwa kwa speed na sio vifurushi tu, ukiambiwa kifurushi cha 25mbps na ukapata 2mbps una haki ya ya kushitaki

2. hawatumii mobile data sana wengi ni broadband, mobile data hutumika matumizi machache na vifurushi ni bei ghali

sisi internet zetu ni gombania goli, mkiekewa kwenye mji bandwitch ya 1gbps na mpo kibao shauri yenu hata mpate 50kbps hakuna anaejali.

tanzania isp wanaotoa dedicated speed ni kama simbanet wakikupa 5mbps ujue ndio hio hio hata muwe wateja milioni kila mtu atapewa 5mbps yake

Asante kwa maarifa mkuu
 
Nimekuwa nikotumia tigo, katika internet hawajawah kunikera hata kidogo, 1000, 650MB, usiku 15GB siku mbili kwa 1500, not bad at all
 
Nimekuwa nikotumia tigo, katika internet hawajawah kunikera hata kidogo, 1000, 650MB, usiku 15GB siku mbili kwa 1500, not bad at all

Nyie ni wale wachache mnaoishi maeneo mazuri.. Tigo kwetu kwa hiyo 15gb usiku utachoka saa 5 mpaka saa 8 spidi wanayokupa ndogo saa 9 ndio wanaachia speed 5mbps ..Hawa jamaa line yao kuna muda nataka kuipiga moto
 
utapimaje speed bila ya watu? hii mitandao speed inashuka kutokana na idadi wa watu sababu ni speed ni shared na sio dedicated.

eneo ninaloishi kupata 10mbps tigo ni kitu cha kawaida tu ila kuna maeneo mengine hata picha ya whatsapp huwezi tuma.

sijakataa..watu wakiwa wengi speed itapungua..
ila kwa sasa na ukzngatia watu wamekimbia gharama za jamaa hii speed itabaki kua poa..

Tuombe tu wajarbu kuweka sawa gharama kazi iishe.
 
Nyie ni wale wachache mnaoishi maeneo mazuri.. Tigo kwetu kwa hiyo 15gb usiku utachoka saa 5 mpaka saa 8 spidi wanayokupa ndogo saa 9 ndio wanaachia speed 5mbps ..Hawa jamaa line yao kuna muda nataka kuipiga moto

katika Internet mbovu hapa Tanzania Tigo wanaongoza...sehem chache kama uliyokuepo ndo utaona tigo wako poa.
 
Chief-Mkwawa kcamp . hawa halotel washanikera. Eti 800mb for 1k? This is too much. Wangeweka 800mb bila kikomo ya kupungua speed atleast wangevutia.


Hawa smart sio kwamba watu hawatamani la hasha... Tatizo ni lack of customer care na service. Ni kama ttcl tu. Vocha mpaka upande gari uende mjini. Na sijui mikoani ipoje
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom