Huu uzi ndio the most useless kwa JF yote. Mimi ni Mkenya na napendaga sana nyuzi za humu, lakini huu wa Dar vs Nrb huwa unanuidhi. Hauna maana. Unawapa wendawazimu kutoka nchi zote mbili platform ya kueneza chuki ya kijinga. Itakuwa bora admin wa huku aufunge. Delete permanently!
1. Umefanya kosa kubwa sana kuingiza Kenya kwa haya maneno. Ni uchungu kuona ukieneza chuki na uhasama kwa Wakenya ambapo hawahusiki. Naona kama wewe ni wale wenye chuki kwa Wakenya zisizo na misingi Kenya haihusiki kamwe kwa haya maneno.
2. Kuna kitu cha mzingi sana naomba nikuelimishe...
Huu uzi naona ufungwe. Matusi tupu. Hakuna mtu anasaidika. Ukweli ni kuwa Kenya, Tz na Africa nzima ni nchi maskini. Lakini kama vile geto kunao wanaopenda kujigamba. Truth is that, compared to developed countries, all of Africa is just poverty and misery.
Nakuunga mkono. Huyu jamaa ni hatari sana. Naona atolewe. Nyuzi zake zote lazima atie watu chuki. Na pia nimeona yeye Kila mara nyuzi zake zinasukuma propaganda humu. Mimi ni Mkristo na nimihisi uchungu sana
Khe! Na hakika wewe kweli ni propagandist mwenye roho chafu na nia mbaya. Wewe mtu mmbaya na hatari sana.
Yani mpaka unataka kutia watu chuki humu na kuwagawanya kwa sababu ya propaganda za Marekani. Mbona umeingiza dini? Mwanzo Mimi ni Mkristo.
Na imeniuma sana kuona unataka kuwachafulia...
Nawasalim nyote. Pokeeni Salam.
Naona vyema tuwe na uzi mmoja maalum wa ngeli. Naomba usaidizi wa ngeli sahihi ya maneno haya.
Kifaranga/Vifaranga - ( naona watu wengi hutumia ki-vi ambapo wengine utumia a-wa)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.