Heshima kwenu,
Katika kitabu cha Biblia, Mwanzo35:10"Mungu akamwambia, jina lako ni Yakobo; hutaitwa tena Yakobo lakini Israeli litakuwa jina lako.Akamwita jina lake Israel".
Naomba kueleweshwa hapa, inamaana hili jina Israel limetokana na biblia(vitabu vingine sijajua)ama hakuna uhusiano...
Kama nitakuwa sahihi,wana wa Israel hawakwenda utumwani Misri Bali utumwa uliwakuta wakiwa misri.Kuna sababu nyingi za wao kufanywa watumwa pale misri ila kubwa nikutokana na mfalme aliyekuwa anamfahamu Yusuph kufariki.
Nina swali; Ikiwa Mungu aliahidi kuwapeleka waisrael kanani(ambapo kweli...
Salamu wakuu...
Mimi nikijana mwenye umri wa miaka26.Naomba nafasi ya ualimu katika shule yoyote ya binafsi(Primary au Secondary).
Nina diploma ya ualimu katika masomo ya Kiingereza na Kiswahili. Pia Nina utaalamu wa kufundisha na kupiga vyombo vya muziki(kinanda, tarumbeta na gitaa)...
Wamehama wengi waliolelewa na vyama vyao, hana kosa. Ninachojiuliza kumbe mbio za 2025 zishaanza tayari?
Naona bado muda upo kwa yeyote anayehis wananchi wake wamemchoka, arekebishe hali kwa kutekeleza aliyoahidi
Wanafunzi wavyuo kwasasa kufikiri kunaenda kupungua kama sio kuisha kabisa. Amini nawaambia wanachuo 7kati ya10 wanatumia hizi AI kufanya assignments za nje ya darasa
Mwili usio na Kinga ni uchochoro wa maradhi. Mwili utashambuliwa na kila aina ya magonjwa mwisho kifo.
Kumbe balozi anakinga ya kutoshtakiwa kwa makosa ya jinai(bila shaka hata ya madai)!. Kama Kinga imeondolewa tutarajie yaleyale kama ya ukosefubwa kinga za mwili.
Huku kiongozi mtiifu wa serikali, huku muumini mwaminifu wa kanisa.
Jumapili unasomewa tamko kanisani na unalielewa vizuri, juma3 inabid ukemee wanaopinga mkataba ukiwa upande wa serikali. Kazi mnayo viongoz wa chama na serikali mnaowajibika kiroho kwa ma baba askofu
Wakubadilishana nae aje Singida DC nije Same elimu msingi.
Pia wakubadilishana aje Mwanga K/njaro niende Wilaya ya Hanang idara ni elimu msingi(Kwa niaba)
Sijui baadhi ya watanzania wanapewa ajira kwa kuangalia vigezo gan. Kwamb hao wasomu wakuitwa watetez wahaki za binadam hawajui kuw kitendo cha kushabikiahilo tukio nakuliita udhalilishaj wao ndo wanafany ubaguzi? Kwamb kwa sheria zetu kuna kazi halali ambazo weny ulemavu flan wakitak kufany kw...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.