Recent content by magesadb

  1. magesadb

    Msaada nataka kununua Suzuki Swift

    Ni gari nzuri tu ndugu........ Kama utahitaji kuiagiza usisite kuwasiliana nami Nitakupatia gharama zote kuanzia kuinunua kuisafirisha ushuru wa TRA na gharama za bandari wewe ni kuisubilia gari yako tu.... No:- 0629600647
  2. magesadb

    Tetesi: Yanga Walambishwa Asali kwa Kisu, Feitoto kutimkia Simba SC

    [emoji23][emoji23][emoji23] yule avunji mkataba sasa kwa kuwa mama kasema wamalizane ataitwa aje na timu inayomuhitaji waweke dau lao auzwe we unadhani Yanga watavunja bila kufuata taratibu ile ni taasisi km ilivyo taasisi ya Rais ndomana hata waliovoomba eneo jana Rais akasema wataangalia...
  3. magesadb

    NADHARIA I.Q ya mtoto aliyezaliwa na binti mwenye umri mdogo ni kubwa kuliko ya mtoto aliyezaliwa na mwanamama mwenye umri mkubwa

    IQ tunaangalia hasa Umri wa mtoto na matendo yake je yanaendana na umri wake ikiwa kuna utofauti hapo ndio unaweza kujua IQ ya mtoto ni katika kundi lipi kulingana na % ambazo zinapatikana IQ= umri wa matendo ya mtoto/umri wa mtoto x 100% (IQ= MA/CA x 100%) Sio kila mtoto ni genius wengine ni...
  4. magesadb

    KWELI Kuketi sehemu moja kwa Muda mrefu ni hatari kiafya

    Pia watu wa namna hii wana hatari kubwa ya kupata ugonjwa wa Bawasiri (Haemorrhoids)[emoji1488]
  5. magesadb

    Tuache unafiki, sasa ndio nchi inagawanyika!

    Kikweli hata sisiem akitoka madarakani huko nje sijaona chama cha kuiondoa nchi hii katika haya inahitaji mtu mmoja tu kichaa kwenye kila kada ndio tutafika tunapopataka
  6. magesadb

    Yanga kupanda kutoka nafasi ya 75-28 ni rekodi ya Afrika

    Mshamba kweli basi bingwa angekuwa mmoja kila cku ndomana wanaangalia idadi ya makombe hawaangalii idadi ya Robo fainali
  7. magesadb

    Biashara mikoani zitakufa, Dar peke yake ndiyo itabaki ikifanya biashara

    Kikubwa hili ni janga la taifa hapo baadae na hatutoweza kukua kiuchumi km nchi sehemu ya mzunguko wa fedha ni moja. Ndiomana mwendazake alijaribu kutengeneza miundombinu na sera yake ya viwanda lengo ilikuwa n kuepuka maswala km haya. Hivyo kama uongozi ulio madarakani usipochukua uamuzi...
Back
Top Bottom