inspectorbenja
JF-Expert Member
- Oct 14, 2012
- 498
- 419
Wadau habari,manzanita mwenzenu kulingana na haki ya uchumi nataka kununua kagari kanakolingana na hali yangu mm kablwela.
Baada ya uchunguzi wa hapa na pale nikangukia kwenye Suzuki Swift old Model.
Je uimara wake wa Engine,ukaji wake wa mafuta na mengineyo upoje.Je mnanishaurije.
Carina bei hairuhusu,IST bei haishikiki.Vitz sipendi matako yake nyuma.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Baada ya uchunguzi wa hapa na pale nikangukia kwenye Suzuki Swift old Model.
Je uimara wake wa Engine,ukaji wake wa mafuta na mengineyo upoje.Je mnanishaurije.
Carina bei hairuhusu,IST bei haishikiki.Vitz sipendi matako yake nyuma.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.