TIME WILL TELL
Mshauri aombe (afanye application) kwa programme zote mbili then aone atapata ipi. Inaonekana dogo lako anaongozwa na mihemko ya fani zinazopiga pesa sasa kaona teleCom hailipi ndio kaamua kubadili gia hewani.
Ndg hizo gharama za leseni ni deal za watu ambao wanajipa vyeo vya msajili nk. Lengo la leseni ni zuri tatizo ni hizo gharama kuwa kubwa sana. Ukienda wizara ya afya utakuta wamejipa kijiofisi na wameacha majukumu ya uuguzi wanatumia hizo fedha kujilipa tuvikao na tusafari twa hapa na pale...
Mbona simple sana! Hz pub huwa zinafungua mapema kwa gia kuwa wanauza vinywaji laini. Mm kuna chimbo wana zile container za plastic za juice ambazo juu zina mfuniko na mrija. Container moja inajaa bia yote tena ile kubwa ya 500mls. Hivyo kilaini unakaa nje kma unakunywa juice vile. Ni mbinu tu.
Hii issue ya kusema kuwa kuna kosa la kunywa pombe mida ya kazi lina ukakasi sana. Ina maana ule muda ambao gambe huanza kuuzwa wale wanaokuwa kazini hua sio muda wa kazi???
Tunaleteana mambo sio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.