Huo uchovu, kulala na kichefuchefu ndio utofauti wake, sio wote wanaweza kuchagua vyakula na pia sio wote wanaoweza kulala, kuchoka, kupata kichefuchefu, kutapika ama kutema mate. Hivyo km mkeo hachagui kuna anaechagua. Na kila mimba ina vituko vyake...
Wezi pia, mbezi wanatumia nauli 1050 badala ya 800, tiketi kuonyesha matumizi ni ndani ya saa mbili wao kuzikusanya wakati mtu anaweza kuitumia hata kwa kwenda na kurudi. Ukiwaambia wa vituoni eti hizo saa mbili ukiwa ndani ya kituo... Kwani umelipa nauli ukazunguke vituoni. Ni bora kutokuweka...
Sio kweli kwamba anaweza kupata matokeo hayo hayo, muhimu ni nia iliyopo ndani mwake. Nina mdogo wangu alisoma miaka minne akapata Div 4 akakaa nyumbani miaka 2 kwa kukata tamaa, baadae akaamua kurudia form two kamaliza mwaka jana na alipata Div 2 sasa anasubiri kuanza chuo kwa kuwa hakutaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.