Jumba la gorofa linauzwa Bunju

Jumba la gorofa linauzwa Bunju

Nyumba yenyewe haijasha ela 400 acha utani na ela
 
Siwezi kukupa breakdown ila nimekupa totoal na nimekwambia nyumba ni kubwa kuliko hiyo hiyo inaingia mara moja na nusu... Kama unataka nitafute weekend nikupeleke site...
Ok. Mtu aliyejenga recently hategemewi kupata shida kupata makadirio ya breakdown ya hizo gharama.
 
Tanzania ni nchi yenye vichekesho sn .

Hiyo nyumba thamani yake milion 400 ...hapo hapo ukimuuliza hebu ni ambia au nipe maelezo ya kunifanya ni kubali hiyo thamani yake.... cjui kama atukupa maelezo sahihi.

Nakutakia biashara njema.
utaskia he haya maeneo ya uku nyumba ni garama sio mchezo si unaona bahari ile pale,haha j sasa mimi nanunua bahari au nyumba
 
Watanzania ni watu tuliojaliwa roho ya tamaa sana, sijui kwa nini haturidhiki...

Hiyo nyumba hata matofali elfu ishirini hayafiki, na kwa bei ya tofali moja sh elfu moja Total ni Tsh milioni ishirini, kiwanja ukute ulinunua milion thelasini maximum, fundi labda alikula max milioni 15, cement maximum hapo imetumika mifuko tufanye maximum 2,000 kwa bei ya sh elfu 12,000 kwa mfuko inakuja milioni 24, mabati tufanye imegharimu milioni 30 kuweka paa, ok tuchukue na wewe umeongeza faida yako kidogo hadi hapo jumla ni Tsh 149,000,000 sasa hiyo bei ya milioni mia nne unaitoa wapiii?
Ok, ongeza na nondo pamoja na mchanga hapo, haizidi milioni 20...
ni kweli inaweza kuwa ivyo ,,lakina hata mchanganuo wako hauko sahihi! nyumba aikamiliki kwa ulivyotaja japo juu
 
Hivi kweli unaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa kuna fundi anayeweza kukujengea nyumba mpaka stage hiyo kwa sh mil 15?

Take note of these things:
Nyumba imepigwa plaster.
Nyumba imepakwa rangi
Nyumba imefanyiwa plumbing
Nyumba imewekwa grill chini
Nyumba imefanyiwa wiring (see the hanging wires)
Nyumba imewekewa tiles (see the veranda)
Nyumba ni ya ghorofa

Tathmini yako haina uhalisia hata robo. Actually namhurumia anayeuza nyumba yake katika hatua hiyo kwa sh mil. 400. Hakuna faida ya maana atakayopata.

Hapo kwenye ufundi, makadirio reasonable would be :
Kuchora ramani mil
Msingi mil 4.2
Kunyanyua mil 1.7
Slab mil 3.5
Kunyanyua juu mil 1.5
Paa mil 1.5
Grill 0.4 (just fitting)
Plaster mil 10
Rangi mil 4.5
Wiring 0.6
Plumbing mil 1
Tiles (kama ziko kote) 1.5 mil

Hii ni jumla ya 31.4 mil kwa makadirio ya chini bila kujumlisha kazi za hapa na pale kama ulinzi, kubeba materials, kufumua mbao, kubeba maji na nyingine. So to be safe, pesa ya ufundi hapo utenge kati ya mil 45-50 ili kufikia hatua hiyo.


Ufundi kupiga plaster 10 m, unapiga plaster nyumba za mtaa zote au hilo ghorofa tu?
 
Watanzania ni watu tuliojaliwa roho ya tamaa sana, sijui kwa nini haturidhiki...

Hiyo nyumba hata matofali elfu ishirini hayafiki, na kwa bei ya tofali moja sh elfu moja Total ni Tsh milioni ishirini, kiwanja ukute ulinunua milion thelasini maximum, fundi labda alikula max milioni 15, cement maximum hapo imetumika mifuko tufanye maximum 2,000 kwa bei ya sh elfu 12,000 kwa mfuko inakuja milioni 24, mabati tufanye imegharimu milioni 30 kuweka paa, ok tuchukue na wewe umeongeza faida yako kidogo hadi hapo jumla ni Tsh 149,000,000 sasa hiyo bei ya milioni mia nne unaitoa wapiii?
Ok, ongeza na nondo pamoja na mchanga hapo, haizidi milioni 20...

Hahahaha umeongea fact mkuu.watu wanachukulia watanzania bado mazombie hatujui garama za ujenzi.tena wewe umefanya estimation kubwa sana. Kuhalisia matofali hapo ni elfu 15 kila moja 1000 jumla 15,000,000. Fundi 10000000, cement 1000 sawa na 12000000,kupaua hapo hakuna kimo so itazid kidogo garama za nyumba ya kawaida.bati msauz moja 36000, yanaingia kama 150 pamoja na fundi na mbao jumla ni 8000000 haifiki kupaua iyo.nondo kokoto hapo za mil 10.jumla esabu sahihi hapo ni 55 mil plus kiwanja 30 mil jumla 85
 
Nyumba za bongo zina bei kuliko hata South Africa, anyway nyumba nzuri sana wenye nazo watakutafuta
Madalali ndio husababisha bei kuwa juu ila ukikutana na mhusika mambo yataenda vizuri.
 
Asalaleee milioni 400 ? Mbona bei rahisi hivyo wakati wa Jakaya hiyo unauza bilioni kabisa
 
Hapo ilipo...unadhani itahitajika kiasi gani kuimalizia iwe SUPERB
 
Tanzania ni nchi yenye vichekesho sn .

Hiyo nyumba thamani yake milion 400 ...hapo hapo ukimuuliza hebu ni ambia au nipe maelezo ya kunifanya ni kubali hiyo thamani yake.... cjui kama atukupa maelezo sahihi.

Nakutakia biashara njema.
Hizo bei za dalali mkuu
 
Hahahaha umeongea fact mkuu.watu wanachukulia watanzania bado mazombie hatujui garama za ujenzi.tena wewe umefanya estimation kubwa sana. Kuhalisia matofali hapo ni elfu 15 kila moja 1000 jumla 15,000,000. Fundi 10000000, cement 1000 sawa na 12000000,kupaua hapo hakuna kimo so itazid kidogo garama za nyumba ya kawaida.bati msauz moja 36000, yanaingia kama 150 pamoja na fundi na mbao jumla ni 8000000 haifiki kupaua iyo.nondo kokoto hapo za mil 10.jumla esabu sahihi hapo ni 55 mil plus kiwanja 30 mil jumla 85
Kiwanja chenye hati cha kupimwa sqm 1900 mil 30 Bunju B Baharini?? Aiseee kweli JF sasa ni Home of Great Sinkers!
 
Watanzania ni watu tuliojaliwa roho ya tamaa sana, sijui kwa nini haturidhiki...

Hiyo nyumba hata matofali elfu ishirini hayafiki, na kwa bei ya tofali moja sh elfu moja Total ni Tsh milioni ishirini, kiwanja ukute ulinunua milion thelasini maximum, fundi labda alikula max milioni 15, cement maximum hapo imetumika mifuko tufanye maximum 2,000 kwa bei ya sh elfu 12,000 kwa mfuko inakuja milioni 24, mabati tufanye imegharimu milioni 30 kuweka paa, ok tuchukue na wewe umeongeza faida yako kidogo hadi hapo jumla ni Tsh 149,000,000 sasa hiyo bei ya milioni mia nne unaitoa wapiii?
Ok, ongeza na nondo pamoja na mchanga hapo, haizidi milioni 20...
Fundi kuanzia kwenye msingi,zege la chini,ujenzi wa boma,silabu na kupaua unasema sh mil 15 !!????this is a big joke
 
Hivi kweli unaamini kwa dhati ya moyo wako kuwa kuna fundi anayeweza kukujengea nyumba mpaka stage hiyo kwa sh mil 15?

Take note of these things:
Nyumba imepigwa plaster.
Nyumba imepakwa rangi
Nyumba imefanyiwa plumbing
Nyumba imewekwa grill chini
Nyumba imefanyiwa wiring (see the hanging wires)
Nyumba imewekewa tiles (see the veranda)
Nyumba ni ya ghorofa

Tathmini yako haina uhalisia hata robo. Actually namhurumia anayeuza nyumba yake katika hatua hiyo kwa sh mil. 400. Hakuna faida ya maana atakayopata.

Hapo kwenye ufundi, makadirio reasonable would be :
Kuchora ramani mil
Msingi mil 4.2
Kunyanyua mil 1.7
Slab mil 3.5
Kunyanyua juu mil 1.5
Paa mil 1.5
Grill 0.4 (just fitting)
Plaster mil 10
Rangi mil 4.5
Wiring 0.6
Plumbing mil 1
Tiles (kama ziko kote) 1.5 mil

Hii ni jumla ya 31.4 mil kwa makadirio ya chini bila kujumlisha kazi za hapa na pale kama ulinzi, kubeba materials, kufumua mbao, kubeba maji na nyingine. So to be safe, pesa ya ufundi hapo utenge kati ya mil 45-50 ili kufikia hatua hiyo.
Upo sahihi saaana mkuu ww unaujua ujenzi haswa na gharama ulizoweka hapa zina uhalisia 90% mimi najenga sasa hv na gharama ulizoweka humo ndio hizo ninazolipa mm
 
Tumejenga nyumba ya ghorofa juzi juzi na ni kubwa kuliko hiyo... Mpaka sasa imekula kama milioni mia moja na ishirini...
Ukishamuona mtu anaanza sentensi na "Tume...."
Basi ujue hizo gharama hazikutoka mfukoni kwake hivyo hajui hata anachokiongea ni wa kupuuzwa tu.Utakuta nyumba anaejenga ni shemeji yake au babaake
Ningekusikiliza ungeanza na kauli kuwa "nimejenga nyumba kwa gharama kadhaa wa kadha...."
 
Good. Hongera.

Hiyo ghorofa mlilipa sh ngapi kwa ufundi wa kazi hizi?
1. Msingi
2. Slab
3. Kunyanyua chini na juu
4. Kuezeka
5. Blandering and ceiling
6. Wiring
7. Plumbing
8. Plustering
9. Painting.
10. Fitting the grills

Jitahidi utuwekee breakdown separately ili tujifunze njia mpya ya kupunguza gharama za ujenzi.

To me it's a miracle mtu kujenga nyumba mpaka level hiyo kwa mil 100.
I agree with u 100%
 
Siwezi kukupa breakdown ila nimekupa totoal na nimekwambia nyumba ni kubwa kuliko hiyo hiyo inaingia mara moja na nusu... Kama unataka nitafute weekend nikupeleke site...
Kumpeleka mtu site hio ni mikwara mbuzi,utaipeleka jamii forum yote huko site kwa shemeji yako mkuu???
Lete nondo humu km kweli watu wadadavue
 
Ukishamuona mtu anaanza sentensi na "Tume...."
Basi ujue hizo gharama hazikutoka mfukoni kwake hivyo hajui hata anachokiongea ni wa kupuuzwa tu.Utakuta nyumba anaejenga ni shemeji yake au babaake
Ningekusikiliza ungeanza na kauli kuwa "nimejenga nyumba kwa gharama kadhaa wa kadha...."
Mkuu. Ukiwa tajiri kuna protocol zake.. Ukipenda kujiongele sana utaishia kuiboa jamii.. So inabidi ukizungumza unazungumza in 3rd person or in prural... Ukipenda kujiongelea kwa mf useme 'nimejenga ghorofa' haileti picha nzuri kwa audience...
 
Watanzania ni watu tuliojaliwa roho ya tamaa sana, sijui kwa nini haturidhiki...

Hiyo nyumba hata matofali elfu ishirini hayafiki, na kwa bei ya tofali moja sh elfu moja Total ni Tsh milioni ishirini, kiwanja ukute ulinunua milion thelasini maximum, fundi labda alikula max milioni 15, cement maximum hapo imetumika mifuko tufanye maximum 2,000 kwa bei ya sh elfu 12,000 kwa mfuko inakuja milioni 24, mabati tufanye imegharimu milioni 30 kuweka paa, ok tuchukue na wewe umeongeza faida yako kidogo hadi hapo jumla ni Tsh 149,000,000 sasa hiyo bei ya milioni mia nne unaitoa wapiii?
Ok, ongeza na nondo pamoja na mchanga hapo, haizidi milioni 20...
Umesahau nondo na mbao pia...
 
ina maana hii nyumba ina thaman kubwa kuliko lile ghorofa alilonunua diamond south Africa? madalali tuoneeni huruma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom