Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,746
- 25,672
- Thread starter
- #21
Mwanajeshikabla sijakujibu naombA nikuulize ni kwamba lengo lako usomee kitu gani katika level ya chuo?
Mwanajeshikabla sijakujibu naombA nikuulize ni kwamba lengo lako usomee kitu gani katika level ya chuo?
Dah mdg na we ulizingua hapo duh[emoji15]Mimi ni kijana wa miaka 19 Baada ya kumaliza kidato cha 4 mwaka 2014 katika shule ya serikali na kupata GPA 0.6
Yaani
Math F
Civics E
Kiswahili C
Geography F
History D
Biology F
E.Language D
Sasa nataka mwakani niende kidato cha 3 kusoma ili nitafute C mbili ili nisome kidato cha 5.
Swali langu ni hivi je nikienda shule ya sekondari ya serikali nikasome kisha nijisajili kama mtihaniwa binafsi je watanikubalia?
mwanajeshikabla sijakujibu naombA nikuulize ni kwamba lengo lako usomee kitu gani katika level ya chuo?
sio sana maana walimu walikuwa magumash kinomaDah mdg na we ulizingua hapo duh[emoji15]
kwa majibu kamA. hayA yale matokeo ni halali yako piA nakushauri usijisumbue kurudiAmwanajeshi
Acha kumkatisha dogo tamaa, anaweza kurudia akapata hata Div one. Kuna jamaa tulisoma naye Huduma sekondari akapata 'O'. Akafurukuta wee leo hii ni mhadhiri wa chuo kikuu.Umekaa miaka 4 darasani ndo ukapata hayo matokeo wewe hataukirudia tena matokeo yatakuwa hayo hayo acha kupoteza muda jichanganye veta kagonge fani yoyote unayoipenda mambo yatakaa poa tu!
Sio kweli kwamba anaweza kupata matokeo hayo hayo, muhimu ni nia iliyopo ndani mwake. Nina mdogo wangu alisoma miaka minne akapata Div 4 akakaa nyumbani miaka 2 kwa kukata tamaa, baadae akaamua kurudia form two kamaliza mwaka jana na alipata Div 2 sasa anasubiri kuanza chuo kwa kuwa hakutaka kwenda form 5. Ila alirudia shule binafsiUmekaa miaka 4 darasani ndo ukapata hayo matokeo wewe hataukirudia tena matokeo yatakuwa hayo hayo acha kupoteza muda jichanganye veta kagonge fani yoyote unayoipenda mambo yatakaa poa tu!
sasa nitapata wapi fomu ya kujiunga na jeshi?kwa majibu kamA. hayA yale matokeo ni halali yako piA nakushauri usijisumbue kurudiA
nashukuru sana kwa ushauri mkuuAcha kumkatisha dogo tamaa, anaweza kurudia akapata hata Div one. Kuna jamaa tulisoma naye Huduma sekondari akapata 'O'. Akafurukuta wee leo hii ni mhadhiri wa chuo kikuu.
Dogo furukuta tu hujui Mungu alichokupangia
hata mimi huu ni mwaka wa pili nipo nyumbanSio kweli kwamba anaweza kupata matokeo hayo hayo, muhimu ni nia iliyopo ndani mwake. Nina mdogo wangu alisoma miaka minne akapata Div 4 akakaa nyumbani miaka 2 kwa kukata tamaa, baadae akaamua kurudia form two kamaliza mwaka jana na alipata Div 2 sasa anasubiri kuanza chuo kwa kuwa hakutaka kwenda form 5. Ila alirudia shule binafsi
Ndugu umemaliza form 4 ukiwa una miaka mingapi?hata mimi huu ni mwaka wa pili nipo nyumban
subirI intake yA jkt kwa mwakani kwani kwa mwaka huu walishafanya usaili na kuwapata wahusika japokuwa bado hawajaondokA mafunzonisasa nitapata wapi fomu ya kujiunga na jeshi?
back to school janjaa, u will make it better than before
17Ndugu umemaliza form 4 ukiwa una miaka mingapi?
Fata huuNakushauri ukasome certificate kama unaweza.... Ukimaliza upige diploma then degree
Kama upo vizur kiuchum nenda private tuMimi ni kijana wa miaka 19 Baada ya kumaliza kidato cha 4 mwaka 2014 katika shule ya serikali na kupata GPA 0.6
Yaani
Math F
Civics E
Kiswahili C
Geography F
History D
Biology F
E.Language D
Sasa nataka mwakani niende kidato cha 3 kusoma ili nitafute C mbili ili nisome kidato cha 5.
Swali langu ni hivi je nikienda shule ya sekondari ya serikali nikasome kisha nijisajili kama mtihaniwa binafsi je watanikubalia?