Pole san ndugu ushauri wangu onana na watumishi wa mungu wakupe ushauri yamkini kuna laana au matambiko ya ukoo yamekufunga.dawa ni nguvu za mungu kutumika na kuyavunja maagano.tuwasiliane.boathy@yahoo.com
salaam ndugu wapendwa.
matukio ya hivi karibuni juu ya mjadala wa kujadili rasimu ya mapendekezo ya katiba ya Tanzania yaliibua na kuweka hadharani hisia za wenzetu katika muungano huu wa Tanzania.
wakati wa mjadala uliofanyika katika hotel ya Bwawani mjini Unguja wanzabari walionekana kuwa...
Ahaaaaaa kumbe mchwa wa bongo ndiyo hao ! ebu sasa ndugu uliyewataja au yeyote yule atutajia mmoja mmoja na dhambi zake ili jamii iwatambue na kwa ubaya wao...ahsante kwa orodha yako
heee kwani CCM inazalisha umeme? au CCM inahusika vipi na kadhia ya umeme? kumbe kila kero ni CCM? tubadilike tuwe wakweli tuilaumu CCM kwa makosa yake na si kila kero ni CCM, tuache ushabiki wa kitoto.....tujadili hoja, tupo huru kuwa wanachama wa chama tukipendacho tena kwa sababu mbali...
Mimi bado nina imani na mtoto wa mkulima Mhe Pinda tena nina imani kwa hili hawezi kunyamaza atajibu tuu .ebu tumpe muda afikirie cha kujibu.Aisee kama unataka kupata ugonjwa wa moyo na kufupisha umri wa kuishi hapa duniani ebu endelea kudadisi mali hii ni ya nani...maana walionazo wengi siyo...
oops sorry for tyiping error.....(masahihisho) ....ok japo sina hasira
Salaam, mimi ni mteja wa huduma za mtandao wa TIGO kwa muda mrefu.nimekuwa nikitumia mtandao huu tangu enzi za mobitel ,buzz,na sasa Tigo. Kwa masikitiko yangu mtandao wa Tigo pekee ndio hauna huduma ya kupiga na kuongea...
Salaam, mimi ni mteja wa huduma za mtandao wa TIGO kwa muda mrefu.nimekuwa nikitumia mtandao huu tangu enzi za mobitel ,buzz,na sasa Tigo. Kwa masikitiko yangu mtandao wa Tigo pekee ndio hauna huduma ya kupiga na kuongea na mhudumu (100) kama una jambo la kuuliza au kulalamikia huwezi kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.