Recent content by madivi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Harusi ya Mwanamuziki Ali Kiba kurushwa live na Azam Tv pekee

    pop it in
  2. M

    JamiiForums Tanzania Divock Origi: Nampenda zaidi Ali Kiba

    kiba 4 real
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nagharamia video ya Alikiba

    good
  4. M

    JamiiForums Tanzania ALI KIBA Kimziiki kwisha kabisaa!!

    chuki ni dhambi mbaya sana.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Happy birthday king Alikiba

    happy birth day to king kiba
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ali Kiba Fans' Special Thread...

    k 4 real,wenye news yoyote kazi ipi inafuta mtujuze,wengine tunasubir kwa ham good music
  7. M

    JamiiForums Tanzania Alikiba Chekecha Cheketua (Here is the song)

    tatizo mishabiki ya ndomo minafiki sana na wivu vinawasumbua plus roho mbaya,nyimbo inaubaya gan ile sasa,nyimbo kali sana tena sana,acheni ushabiki maandazi.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Alikiba Chekecha Cheketua (Here is the song)

    kiba ni nouma,wenye roho mbaya na wivu wataropoka sana tu but chekecha ni hit song kali sana
  9. M

    JamiiForums Tanzania Alikiba Chekecha Cheketua (Here is the song)

    kwa hii nyimbo kweli kiba ni kubwa lao,hii nyimbo ni kali,anaebisha kweli atakua na chuki tu,ni hit song ya hatari,ongera sana ally k.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Noah au Spacio

    Niaje wadau. Nahitaji msaada wenu, kwa hizo gari hapo ni ipi ambayo naweza kuitumia kibiashara na ni biashara ipi? Maana mimi nafikiria kufanya as a tax ya abiria, so maybe kuna mtu ana idea zaid ya hiyo na ni nzuri atakua amenisaidia. Shukran.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Noah au Spacio

    niaje wadau,naitaji msaada wenu,kwa hizo gar hapo ni ipi ambayo naweza kuitumia kibiashara na ni biashara ipi?mana mm nafikiria kufanya as a tax ya abiria,so maybe kuna mtu ana idea zaid ya hyo na ni nzuri atakua amenisaidia,shukran.
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe night dada poa

    nimetaka mawazo tu ya kumshauri na kumtia moyo mshikaj(ndug yangu) coz ni marafiki tangu nursery,km hunachakushaur piga kimya,usilete utan,mm pia naumia yaliyo mkuta ndug yang,so usilete taarabu zako kwenye issue za maana.
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe night dada poa

    Niaje bandugu, dunia imekwisha sasa kuna rafiki yangu amechanganyikiwa, baada ya kugundua mrembo wake night uenda kiwanja fulani hapa Dar es Salaam kuuza, mtoto mkali sana na anapiga kazi kampuni fulani ya simu, sasa najiuliza mtoto kama huyu ukimuona huwezi amin. Wameishi wote miaka 2 katika...
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanandoa ni nini hasa mnachofaidi huko?

    ndoa ni ibada,kama binadamu ulie msafi kiroho na kimwili utakiwi kuhoji kunani,oa uwe mkamilifu sio kuendekeza uzinzi.
Back
Top Bottom