niaje wadau,naitaji msaada wenu,kwa hizo gar hapo ni ipi ambayo naweza kuitumia kibiashara na ni biashara ipi?mana mm nafikiria kufanya as a tax ya abiria,so maybe kuna mtu ana idea zaid ya hyo na ni nzuri atakua amenisaidia,shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.