Recent content by MADIDINGWA

  1. M

    Nataka kupenda kama mjinga, nizame nipotee!

    Duh we kiboko.. wakati mie napenda nusu nusu ili nikiachwa nisiwe chizi. haya all z best
  2. M

    Sifa za mwanaume na mwanamke bora

    sawa Ichana.. hata kama hakuna.. ila baadhi tuwe navyo .
  3. M

    Hivi wanaume mnaojicommit kwa mchepuko mna ujasiri gani?

    haha haaaaa wanaume mna mambo eeh... sitak nataka hiyooo
  4. M

    Uonapo hivi jua hupendwi tena

    ha ha ha ha ha hii thread imenichekesha sana
  5. M

    Unapokea zawadi zake lakini humpi anachokuomba

    na ww kwann uanze na zawadi... be straight bana.mara nyingi wanaume wanaofanya hivyo ni wale ambao hawawez kutongoza amini usiamini.. ukinipa nachukua ndio kwa mie nilikuambia unipe.
  6. M

    Ni marufuku wanaume kubembeleza wanawake

    loooh kama mpo wengi mbona mkimwagwa mnalia? mapenz s rahis hivyo unavyofikiria ww.. kama umeumizwa pole na hayo ndo maisha ya mpito tu. ingekuwa hivyo unavyofikiria ww mbona raha sana.. kumbuka na si kila mwanamke unayemwona ukajua anakufaa.. angalia kijana utaruka mkojo waenda kukanyaga...
  7. M

    Nahitaji mume muislamu

    Mungu akupe wepes dada. . pia kuolewa ni bahati..Mungu pekee ndio kimbilio lako. . mlilie tu kilio chako atakijibu tena atakupa mume bora.. kwa Mungu kila kitu kinawezekana
  8. M

    Baadhi ya wadada ni mizigo katika mahusiano!

    hata nyie wanaume wenye tabia hizo mpo sana.... kwa wanawake ukimpenda mwanaume unajitoa kwa kila kitu.. aseme nini usimpe? hasa kabila letu lile ukipenda umependa. kuna wanaume ambaye ukiachana nae anakukumbuka kwa vingi tu tena mnooo
  9. M

    Kwa kina dada wa JF bora lipi kati ya haya!

    wanaume hawafanani... mwingine unakta na utajiri wake lakin hana mambo hayo... mwingne ndo weeee balaaa kama umeolewa ndo utajuuuta kumfahamu.. am neutral
  10. M

    Ajabu ya wanaume kuwa na nyumba ndogo

    ha ha ha ha ha raha jipe mwenyeweeeee... ukingoja kupewa itakula kwakooooo
  11. M

    Mume wangu hanifikishi kileleni : Ushauri

    mmh hilo mie siwez kuchangangia... napita tu
  12. M

    Mnayasababisha wenyewe... acheni chokochoko

    ha ha haha haaaaa hilo nalo neno happy
Back
Top Bottom