Nahitaji mume muislamu

Nahitaji mume muislamu

Dada,kama uko serious usiangalie kejeli za wengine humu we subiri na utapata mtu makini kwani hapa kuna watu wa kila aina

Ila nakushauri uwe makini sana kwani kuna wengine wanamasikhara hadi nje ya hapa

Nakutakia kila la kheri!
 
Mimi ni muislamu na mwajiriwa wa serikali
nina miaka 37 na mtoto mmoja wa kiume
ninahitajimume mwislamu kuanzia miaka
38-50, ninaishi dares salaam
kwa aliyeayari tuwasiliane kwa namba
0719 470666 au 0788 598855

msimu Ndo huuu.. week hii moja nimekula ubwabwa wa ndoa mpaka nimechoka..!!
Ramadhan Kareem...!!!
 
mi dada nakushauri usichague dini wanaume wa kiislam ni vigumu kuwapata ,i mean wapo wachache ukilinganisha na wakristo trust me

mwenzako anatafuta wa kununua futar ya halali..
 
Mhhhhhh!!! Yoyote yule hata kama hana kigezo hata kimoja!? Si ndoa itaishia njiani hata kabla ya mwaka?
Uupsi sio kiivyo Lazima awe na vigezo more than 50% ya alivyojiwekea kwa ndoa nzuri.

""I was kidding kuanzia nilipoanza kuquote mkuu""
Vigezo ni muhimu sana ila kumpata Mr ryt man kwa vigezo 100% ni vigumu huwa mengine yanarekebishika ndo mana kuna mda wa uchumba kusomana kitabia.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Aise wasichana muwe waangalifu na maisha sana..

Wanawake wa siku hizi wanadaigi wanatafuta mbegu tu azae Mtoto wake mmoja baasi ila mwanaume hataki.
Huwa wanapenda bado kula raja na hawataki majukumu yoyote ya kygangaishwa na mwanaume kama vile apike, afue aoshe vyombo, apasi n.k huo muda hawana wala hawataki.
Tatizo linakujaga pale muda unapokuwa umeenda marafiki zake wote wa zamani wako busy na familia zao na mambo yao ule muda wa kurukaruka hawana tena sasa huyu unakuta amebaki mwenyewe hapo ndiyo anapokuja kugundua kumbe natakiwa niwe na mume niwahi home nikapike au nikaangalie watoto nimsubiri mume aje, yaani awe busy na hm kwake.
Hilo wanakujaga kugundua baadae sana wakati muda umeshaenda ndiyo pale inafikia point anatafuta mwanaume tu haijalishi ni boss mkubwa serikalini, tajiri wa akili, kipato, masikini wa aikili, kipato haijalishi.
Bora mwanaume. Shida ndiyo inapokuwepo hapo
 
Umri uliochagua ni waume za watu japo kuwa umejaribu kutafuta aina ya watu wanaooa mke zaidi ya mmoja but it will cost u later! jaribu kutafuta mme wakwako wewe kama wewe! ungesema awe na umri huo ila awe hana mke either kafiwa au naye hajabahatika kama wewe!
Nakutakia kila la kheri juu ya tangazo lako mama!
 
My dada nakushauri tu keep ur options open,kwa situesheni na umri ulofikia usi chague chague sana mwaya,ndoa nzuri si lazma muwe dini moja
 
Mungu akupe wepes dada. . pia kuolewa ni bahati..Mungu pekee ndio kimbilio lako. . mlilie tu kilio chako atakijibu tena atakupa mume bora.. kwa Mungu kila kitu kinawezekana
 
  • Thanks
Reactions: HMS
Dini ni muhimu sana mwaya,kumbuka uchaguzi wa mwanamke au mwana mke chamuhimu sana ni dini yake alafu zinafuata mali na vingine.
 
  • Thanks
Reactions: HMS

Similar Discussions

Back
Top Bottom