Hii elimu ya kukariri ni mbaya sana. Yaani unakuta mtu anashukaaa lakini yooote kakariri tu kama huyu. Wakati ufike kila tunaposoma lolote au chochote tujadili na mwandishi na siyo kubabe ama kukubali kila kitu alichoandika. Hivyo vyakula ulivyotaja kusababisha uric acid watu wamekula enzi na...
Sijui kama tuna wataalamu wa afya kwa karne hii. Nasema hivi kwa sababu tuna wimbi la waitwao watalaamu wa afya tena wengine maprofesa ila ni waongo kwa kiwango cha PhD. Nina wasiwasi wanalipwa ili kupotosha umma. Juzi Janabi anasema kujifungua mtoto wa kilo 4 au 5 ni hatari na mtoto yule hana...
Hakuna mwanahabari au chombo cha habari kinaweza kusema ukweli wote haswa top secrets...hakuna. Habari karibia zote hupukwa upya. John Swinton, Mhariri mkuu wa Zamani wa gazeti la New York times ambaye walimtambua Kama mkuu wa waledi yaani The Dean of his Profession...Alisema...Iwapo utakuwa...
Simba bado ni mbovu. Kwa bahati mbaya Viongozi wa Simba na Wachezaji hawalioni hili kabisa. Bado ni mbovu kila kona.
Wakati mwingine pia ifike mahali tusiabudu Wazungu kupita kiasi...yaani Kocha lazima awe mzungu? Kama hamtaki makocha wa kibongo..nendeni mkalete Wasenegal, Wanaigeria...
Liverpool walikuwa walazwa kwa goli
Mchezo wa jana naona Bahasha zilifanya kazi. VAR na Refa pamoja na washika vibendera walilamba bahasha....maana si kwa kuwaona vile Man City. Nahitaji team ishinde kihalali na si kuonewa. Jana wazi kabisa Refarii alikuwa kalamba bahasha. Lile goli...
Report inaegemea upande wa jinsia moja tu. Duniani kuna jinsia tatu. Lakini mara nyingi riport za haki za Binadamu hutolewa zikilenga jinsia ya kike tu ilehali kuna jinsia ya kiume na jinsiatatu yaani mtu ana jinsia zote mbili. Leo kuna wimbi kubwa la kulawiti watoto wa kiume, kuna wanaume wengi...
Report inaegemea upande wa jinsia moja tu. Duniani kuna jinsia tatu. Lakini mara nyingi riport za haki za Binadamu hutolewa zikilenga jinsia ya kike tu ilehali kuna jinsia ya kiume na jinsiatatu yaani mtu ana jinsia zote mbili. Leo kuna wimbi kubwa la kulawiti watoto wa kiume, kuna wanaume wengi...
Bilioni zaidi ya 20 analipa...Hivi kuwekwa kwenye orodha ya Bilionea ni hadi uwe unamiliki Bilioni ngapi jamani? Maana huyu mwanadada naona naye ni Bilionea.😁
Historia inatabia ya kujirudia. Kuna matukio hufanywa na kila mtu akiwemo Rais. Wakati ukifika wa kufanya rejea huenda kizazi kitakachokutwa kikashindwa kutambua haswa rais yupi alifanya jambo fulani.
Mfano Rais ameweka jiwe la msingi kwa Hospital hii. Bila kutaji jina...watatambua ni Rais nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.