Recent content by Madam Principle

  1. Madam Principle

    Aina mpya ya wizi Vodacom

    Hawa Vodacom hata sina hamu nao!!! Wanatisha kwa mbinu zao za wizi
  2. Madam Principle

    Tofauti kati ya bachelor wa kike na wa kiume

    Dah!! ukapela nao unahitaji moyo, unakuta gari ya huyo bachela wa kiume inang'aa nenda. chumbani ujionee sasa:kijiko kwny uvunngu wa kitanda sahan Kwny kochi
  3. Madam Principle

    Nywele bandia: Je ni mvuto, au kudharau uafrika?

    Ni kweli hili la Nywele za dukani limeshakuwa janga la Afrika sambamba na hiyo mikorogo mikali ya kisasa hasa kwetu sisi wanawake na Tatizo kubwa ni ulimbukeni na kuiga kumetawala, lakini pia ninyi wanaume mnachangia uwepo wa uozo huu:iweje mkeo ajiharibu uasili wake na we unampenda na uko nae...
  4. Madam Principle

    Kwa kweli voda mlipofikia mtumbuke mpone haraka

    Habari wakuu!!! Ni mtumiaji mzuri wa mtandao wa Vodacom Tanzania ila najitokeza kuyatoa ya moyoni maana wamezd wizi. Kila siku mnabadili vifurushi lakini hivi vya sasa ni kukomoana jamani yaani 450 vijmb vichache eti saa 24??? Na hizo offa kandamizi acheni...
  5. Madam Principle

    Kwanini mimi ni mzito kumsaidia mpenzi wangu?

    Acha uongo kijana sema ukweli usaidike, kwa tabia hiyo na hiki kizazi chetu cha pesa mbele we vibuti lazima vinakuhusu asbh, mchana, jioni na zaidi ya kumekucha, upo hapo Mkuu??
  6. Madam Principle

    Kwanini mimi ni mzito kumsaidia mpenzi wangu?

    Dogo hebu nikumbushe vibuti ulivyopigwa na hao ma-ex wako wamefika wangapi kwa mtindo huo JEHH??!!
  7. Madam Principle

    Uvumbuzi wa choo

    Ajabu ni kwamba utakikuta supermarket na lebo yake nzuuri bila shaka utalipa na kupewa risiti (vigezo na sera kuzingatiwa)
  8. Madam Principle

    Ilikuwaje Quran na Bible viliandikwa kwa ufanisi mkubwa hivyo wakakosa picha?

    Biblia sio tamthilia wala simulizi Mkuu :Ni neno la Mungu na mwongozo wa maisha yetu ya kila siku sisi wanadamu. Rejea Yohana 1:1-5 hivo pia ni njia ya mawasiliano baina ya mkristo na Mungu wetu Marko 13:33-37 na pia tuchunge kauli zetu Mathayo 12:36-37
  9. Madam Principle

    Angalizo kuhusu biashara ya mtandao (Network Marketing)

    Ahsante Mkuu lakini je, unafahamu nini kuhusu hawa watu wa Forever living??
  10. Madam Principle

    Waombaji ni wengi .. TB Joshua kiboko!

    Ktk masuala ya imani tusikaririshane jamani kila mwenye imani yake atapokea sawa na imani yake Ufunuo 3:11 pia Ufunuo 3:19-22 iweje umpondee Mtumishi wa Mungu wakati hata Mungu anamheshimu? Tuacheni kukariri jamani imani ni zaidi ya mtaji na pia imani ina nguvu kwa yule aliyeamua kuamini
  11. Madam Principle

    Kuwa makini katika maamuzi

    Umeona eeeh!!! He also a greater thinker
  12. Madam Principle

    Ukinusurika ajali/ kifo unatakiwa umlaumu Mungu au umshukuru? Maana shukrani ndo nyingi

    Mkuu vitabu vitakatifu vinatuasa kujiandaa wakati wowote maana hatujui siku wala saa atakayo kuja mwana wa Adamu, hivyo basi mshukuru Mungu kwa kunusurika na hiyo ajali kama huna hakika na maisha yako mazuri baada ya kifo
  13. Madam Principle

    Kuwa makini katika maamuzi

    Ahsante sana Mkuu hilo ni bonge la msg hasa sie madada!!! Wewe ni amazing one
Back
Top Bottom