olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,305
- 1,560
kwa Maria
sukari iko wapi?
Maria: nenda pale kitchen, angalia juu ya meza upande wa kulia kuna hotpot juu yake kuna ndoo nyeupe sasa hapo kushoto kuna kikontena cha sukari...
Kwa John
sukari iko wapi?
John: sukariiiiiiiii duh.. itakuaaaaa ah, sikumbuki, mara ya mwishoooo ilikuaaaa.. hebu angalia hapo chini ya mto
chini ya mto??
sukari iko wapi?
Maria: nenda pale kitchen, angalia juu ya meza upande wa kulia kuna hotpot juu yake kuna ndoo nyeupe sasa hapo kushoto kuna kikontena cha sukari...
Kwa John
sukari iko wapi?
John: sukariiiiiiiii duh.. itakuaaaaa ah, sikumbuki, mara ya mwishoooo ilikuaaaa.. hebu angalia hapo chini ya mto
chini ya mto??