Recent content by Madam G

  1. Madam G

    Nimeamua kuachana na mchumba, Ila atalipa yeye na huyo aliyemdanganya, jasho langu halitaenda bure

    Pole mkuu nimehuzunika sana sijui wanawake wengine wakoje,hakika hata kufa kabla ya kujutia kukuumiza
  2. Madam G

    Brother ananishawishi nitembee na Mkewe kabisa wa Ndoa

    Napata mashaka kwenye process nzima ya kupeana mimba je mkinogewa si ndo mtaanza kuona wenza wenu maboya,,NB mke wa mtu mtamuu
  3. Madam G

    Moyo wangu una majonzi, yako wapi mapenzi ya dhati?

    Au we mbaya maana naona unateswa sana,hebu nipe physical appearance yako
  4. Madam G

    Mapenzi yamebeba vifo

    Sory darling najua Mungu atasema na wewe IPO siku
  5. Madam G

    Wivu umeniponza

    Hakupendiiiii full stop
  6. Madam G

    We mwanaume unikome!

    Nimehuzunika sanaaaaa,subiri mama utapata mtaimbo tu
  7. Madam G

    Missed calls 13 ni sababu tosha ya kuachana naye, Muasherati Mkubwa

    Pole zake wengine wanatafuta wakuwajali yeye anachezea
  8. Madam G

    Jamani hivi wanaume mnataka nini kwa wanawake?

    Wanaume hata uwatawaze kwa ulimi bado watachepuka tuu,
  9. Madam G

    Weekend story: Bad wives

    story hadi nimejirambaaa thank u my dear Lara1
  10. Madam G

    Weekend Story: You Can't Handle The Truth

    Ni tamuu hadithi za huyu mamaa,nakumbuka my first kiss nilipewaga barabarani mchana kweupe ya kushtukiza kama zile za kikorea,siku hiyo sikulala kila nikikumbuka naskia furaha hadi tumboni
Back
Top Bottom