- Thread starter
- #41
YESU alikufa msalabani ili tupone mwamini Yeye anaweza kukuponya... Lakini hata ukifa leo ukiwa na Yesu utakwenda Mbinguni..
basi niafadhali nife niende mbinguni tu sasa
YESU alikufa msalabani ili tupone mwamini Yeye anaweza kukuponya... Lakini hata ukifa leo ukiwa na Yesu utakwenda Mbinguni..
Naku PM,ukiipata nijuze.basi niafadhali nife niende mbinguni tu sasa
Yaani acha tu mama.Uwii nini tena jamani!, naanza kuumia kabla mie huwa naona vibaya mtu akionewa, ngoja nione..
machozi hapa yananitoka aisee!
Daah, nimekosa hadi cha kuandika. ...It is soo sad kwakweli.
Uwii nini tena jamani!, naanza kuumia kabla mie huwa naona vibaya mtu akionewa, ngoja nione..
Kuna vitu ni heart breaking kwakweli.Daah, nimekosa hadi cha kuandika. ...
Mungu atuepushie. ..Kuna vitu ni heart breaking kwakweli.
basi niafadhali nife niende mbinguni tu sasa
Amen!Mungu atuepushie. ..
Daah, nimekosa hadi cha kuandika. ...
Kuna vitu ni heart breaking kwakweli.