Weekend Story: You Can't Handle The Truth

Weekend Story: You Can't Handle The Truth

COLLINS DARESALAAM

Carina nashukuru sanaa mdogo wangu ume exceed my expectation ni jambo jema you showed the boy some quality time. Si unajua mambo mengine Mungu ndo anavotaka hivo binadamu tupendane. Carina akamuwahi Collins "Spare me the sentiments kabisaaa, Mungu hausiki na makubaliano yetu, usijisahauloshe i did my end sasa we are getting to your end. By the time you get a clie how long this week is gonna be i doubt if you will have appetite for religious issues. Collins akacheka anamjua Carina na alijia lazima Carina atakomesheaaa. Atafanyaje ndo kuku kashajiingiza bandani. Siku saba si nyingi ila chini ya utwala wa Carina ni kama karne.

Carina akaanza kumsomea hukumu yake. "As of now entertaining me and my firiends should be your priority, which will include but not limited to serving us drinks, making conversation interesting, getting us rid of mom all aftermoon long and preparing snacks of our choice. I loke your cooking better, i hate dadas cooking. Collins akamuitikia Yes Boss.

Jioni akowa mejipumzisha akajua tu wiki haitakuwa fupi. Kesho mchana Carina akamtaafifu "Do your magic i wanna go out tonight" Collins akadakia Whaaaaa? We si unajua kesho jtatu mzee hawezi kukubali hata kwa dawa....." Carina akam shussssh! Whatever i want the whole week remember? I count on you big bro to keep your end of the bargain. Collin akajitahidi kumielewesha it is not that easy! Carina akamuuliza "Do you think it is easy to like retarded kids that you dont know and you have never met? ?...??? I didnt think so too. Tonight at 10:00pm usiniangushee nakutegemea.

Collins aka anawaza na kuwazua kwa kinaa atamtoaje pale kwao. Akaomba baba yao asiwepo mama atammudu. Mpaka jioni jioni baba yupo hana dalili zakutoka kabisaaa. Akajitia kuanza maongezi nae Pops i heard there will be a band down at Police Mess, Sikinde will be playing live tonight! Mjungu akashangaa tangia lini mwanae akawa mtu wa band? Mbona maajabu ila akawa exited mwanae kuwa interested na dunia kidogo. Akamjibu tu "Really! It would have been great if we hanged out together down there spend some father and son quality time trying to catch and all but tonight tumbo langu haliko vizuri kabisaa. Najisikia hovyo sanaa, i guess nitalala but if you wanna go you can take my car uwachanganye totoz na nini. Collins akamuangalia Carina akakuta anampa doleeee gumba huku na tabasamu pana.

Ikafika saa 3, bado hajajua anamtoaje Carina humo ndani. Akaanza kukosa amani sasa. Akakumbuka kitu akamfata chumbani kwake akagonga akasikia ingiaaa. Kuingia si ndo anamkuta na chupi na sidiria kakalia kioo utamjua? Hana hata shakaaa. Ikabidi tu atizame pembeni kama reflexx action. Akamwambia Carinaaaa! I am your brother for crying out loud, jigunge hata kanga. Mbona huna adabu wewe. Carina anchekaaa anamwambia kuniona mimi unastuka je ungemuona mama si ungedataa! Wenzio na mama tushazoeana tunakaa hivi hivi full kujiachia. Collins akaguna tu na kutikisa kichwa akiendelea kuongea nae uso uko pembeni.

Carina akamujliza umefanikisha nasikia tumepewa gari la Mzee, safi sanaa. Collins akamwambia kufanikisha bado ila wewe vaa decent kuna kitu nimekifikiria. Kufanikiwa au kutofanikiwa hiko kitu inategemea wewe utavaa nini. Naomba uvae decent. Carina akamwambia usijaliii. Collins akaenda pale kwa wazee wameketi, koku ashalewa maana tangu asubuhi mzee yupo hakuna kutoka out amebakia hapo anazinywa tuuu.

Collins akaanza kujieleza kuna fellowship mitaa ya msimbazi ni nzuri sanaa kuna pastor anakujaaa. Baba yake akamkatisha Son you are 20yrs boy, you dont have to ask permission anymore knock self out! Collins akaguna, akaanza well i was thinking of going with Carina because i think she needs God in her life. Akasema serious na kwa msisitizo. Wazazi wakaangaliana. Pastor kazini. Baba ake akawafanyia sawa nendeni na mkono manake hakuwa in mood na hio discussion.

Carina akawa anatoka kwa kunyata. Baba ake akaita Carrina akaenda yes dad! Kumcheki kavaa sweta na sketi ndefu, akawa convised kweli kuna fellowship. Akamwambia tu be good to your brother and find God my daughter huku akimuangalia mkewe cheko limembana. Carina akanongoneza mama yake "The house is yours, he is all yours dont get too nasty on him" Mamake akabakia mdomo wazi haaaaaaaa ya kimya kimya.

Kwenye gari Colins anamuuliza nipe ratiba Madam. Carina akamuelekeza Masaki huko kwenye nyumba za watu. Wakakuta party, ila party yenyewe ya watu wakubwa kama A level hivi. Carina keshavua nguo zote kabakia na kigauni kifupiii. Akaambiwa kaa kwenye gari. Collins akakubali kukaa kwenye gari. Amekaa amekaa akaamua kushuka na kwenda huko huko.kwenda kule akakuta kimewakaa, akamuona Carina anavuta sigara akaenda kumporaa na kuikanyaga, akatoa pakti zima kwenye pochi akapewa tu FYI we both smoke with mom and Dady knows. Akawa tu mdogo.

Yuko bega kwa bega na Carina, Carina anamwambia mbona yunabanana lakini, go find some one to get laid. Collins anaendelea kumchagiza nakuona una muangalia yule halfcast isnt he a too old for you? Come on sis look at the guy he is what 18, 19 or 20? You should be with some one your age. Carina akamjibu tu how about you the girl from Saturday isnt she too young for you? Is she what 12, 13, or 14? You should take your advice and be with someone your age. Collins akachoka mkuki kwa nguruwee.

Akasikia Carry, who is this hansome guy you have here? Carina akageuka kwa matumaini, him, you can absolutely steal him from me, forever if you want. Have fun! Akawa anawakimbia, collins akamfanyia ishara ya vidole machoni kuwa nakuangaliaa. Yule bi dada akajiongeza Hi im Deissy! I see you arround, we neighbours. Collins akajibu tu Hi, im Collins Carrinas big bro.

Wakaanza maongezi mdogo mdogo, Daissy ndo kumwambia nae alikuwa nje karudi bongo siku si nyingi na nini. Wakawa wanajadiliana mambo mbali mbali ila akili yote anamfatilia Carrina, akamuona anaongea na yule half cast. Ikawa anaongea na daissy huku anamfatilia Carina kama kawaida. Ilivofika saa 7 akamuaga Daissy akamfata Carrina waondoke. Basi yule halfcast akataka kuleta ushikaji kwa Collins like they should be cool and all! Collins akamuoneshea ngumiii. Yule half cast aka back off peacefully. Carina anamuuliza did you have to be that rude? Collins akamtabasamia.

Kurudi Koku akawafungulia mlango, ulevi Carina akasahau kuvaa zile nguo alizotoka nazo. Koku akamfata chumbani fellowship ilinoga sanaaa! Carrina akacheka. Koku akamuuliza pastor uliwezaje kumcorner mpaka akakutoa? Uli mblackmail na ninj yule Pastor! Carina akamjibu tu This is blackfemale mom. Wakagonga. Koku akasema umenipa wazo nitaanza kumtumia kwenye mitoko yangu.

Collins akawa amelala anamtafakari Daissy the way she was throwing herself at him. She was all over him. Ila kama ilivo ada hana hisia nae. Nothing special. Just like other girls aliokuwa anawala for fun. There was no connection between them. No chemistry at all. Na inatokea mara nyingi anakuwa na demu mkali, demu anajitoa for everything, lakini tatizo yeye anakuwa sio kivile. Ile covalent bond inakuwa haipooo kabisaa. Akakumbuka jinsi Daissy alivokiwa anatengeneza mazingira ya second meeting kwa nguvu zote afu yeye akawa anamkwepa kwepa. Akalala na kujiuliza hivi kweli atakuja kupata demu ampende mpaka achanganyikiwe kabisaaa kabisaa akadoubt!

Asubuhi akawahi kuamka akatrain jogging kama kawaiada, akaja kunhwa chai, hapo Carrina keshaenda shule, akasikiza miziki, hakuwa na program jeshini. Akawa tu bored kimtindo. Saa saba akaangalia ratiba ya vyakula walivobandika kwenye ubao wa menu, akakuta Carina kaagiza apikiwe wali maini, na chini kaweka Snacks afu kwenye mabano Collins yaani azipike Collins. Akamtengenezea hizo Snacks vizuri kabisaa. Wakaja akaenda kuvaa appron tayari kuwahudimia.

Akawawekea snacks! Akawauliza mnakunywa nini mabinti? Carina akasema yeye anakunywa wine ya mzee. Akaanza kuwatajia lebels zilizopo kwenye counter ya mzee. Collins akajikoholesha wakamuangalia akasema may i suggest! Carrina akamjibu tu No, manake anajua ata suggest Soda, wale wengine wakamjibu Yes! Akawashauri awatengenezee cocktails sababu ni mchanaa, jua kali sanaa, isitoshe kesho shule wasiwe na hangover. Wazo likakubaliwa.

Akarudi jikoni kutengeneza hizo cocktails akawawekea na ice cubes. Akawaa,bia niko najiegesha mkihitaji chochote mniite. Basi wenzie wanamwambia your brother is so sweet! Anawaambia too he is not one bit, i earned this service from him. Wakawa hawawaelewi. Mwingine akasemaai wish i could turn my bro to z zombi like this. Hahaaaa wakacheka. Collins alihudumia jioni yote.

The rest of the week mpaka Friday Carrina alikiwa booked kwenye birthday party jioni so akirudi kachokaa ndo nafuu ya Collins. He couldnt wait the week to be over. Alhamisi akiwa hana hili wala lile Carina akamwambia simu yako kule! Akastukaa akauliza nani kapiga? Carrina akamjibu i dont know some one Daissy! Collins akamwambia chonde chonde kamwambie sipooo. Hahahaaaa, Carina akamwambia kwa coctails za juzi poa. Akaenda kujiongelesha i thought he was on the shower but it was not him, it was just daddy just call some other time. Say Hi to Lilly for me. Akakata!

Whuuuuuuuu! Carina akastua running from girls as usual! Collins aka frown. Carrina akamwambia sasa sikia kesho unatakiwa kunipeleka Kariakooo. Nikitoka shule. Naenda kwa Iqra. Collins hakustuka kabisaa, akamuuliza huyo Iqra ana birthday au? Carrina akamwangalia akatabasamu. Iqra your little girlfriend, the one with sick brother! Collins akastukaaa! Are you sure Iqra is her name? Carrina akamjibu Daaah! You must like her so much your shocked face is priceless! Collins akaji compose akaanza kumsihi aisende, anamuuliza kwani lazima kila party aende kama vipi atampeleka kokote mradi asiende kwenye hio party.

Carrina akamwambia sio party alini promise nguo ndo naenda kuchaguaaa, afterall i miss the sick kid, he reminds me of my friends young sister in UK remeber the Bills young sister was sick like the boy you know. And the sicke girl used to like me a lot. Collins akawa off na hio safari. Basi tu for no specific reasons, ila kama alivojiweka bond kwa Carrina kumpeleka ikawa lazima.

Usiku akiwa kalala akamkumbuka yule mtoto aliemkuta UK analia siku ile amempoteza mdogo wake Fahad, nae yule binti alikuwa anaitwa Iqra, na ilimchukua mda sanaa kumtoa kichwani pake. Akawa anajiuliza ndo yeye au sio yeye. Akajipa matumaini sio bwana ni coincidence tu.

Kesho wakiwa njiani anamwambia Carrina sasa uniuliziea yule mdogo mtu anaitwa nani? Sawa Carrina nakutegemea. Carrina akamjibu anaitwa Fahad! Collins akashika break fastaaa! Carina akamuuliza what is wrong with you why do these people make you so jumpy! Collins akazuga zuga, akajizoa zoa akamuuliza how do you know his name? Akiamini ukute Carrinan nae kakumbuka anamjambisha jambisha tu. Carina akamwambia i was the MC at the party remember so i got introduced. Anything more you wanna know? Like they live only with their father and grandma. Huku collins akafumba machooo akajua ndo yule yuleee. Akachokaaa, na kuishiwa nguvu kabisaaa.

Kariakoo akamuomba Carrina asishuke kwenye gari, Carrina akamruhusu, akashuka yeye Carina akaingia dukani, akawaona wanatoka wote wakaenda huko mbele, basi roho inamuenda mbio sio kidogo. Kijasho kinamtokaa. Baadae Carrina akarudi na fuko akamwambia twende. whuuuuu, alivotoa gari kama mwehuuu mpaka home.

Kuingia anamkuta Daissy yuko na bi mkubwa wake Koku. Akastukaaa ila akajikaushaa. Daissy anajitetea i was just passing i thought i could just say Hi! Sijakukuta but your mom is so sweet akani invite kukungoja. Mmmmmhhh! Collins akazuga zuga ooohhh! Akawa join ila akili yake haipo kabisaa. Most conversation ilikuwa kati ya Koku na Daissy. Mpaka mda mwingine Koku anamkanyaga miguuni chini ya meza asizubae sana achangie. Basi anakuripukaa kuchangia. Daissy akaaga anaondoka Collina kajikalisha nae anapokea bai bai, Koku akamkanyaga na kumkonyeza msindikizeee. Ndo Collins kimsindikiza.

Alivorudi Koku anamwambia hahahaaaa kwaninj huampendi mdada wa mtu lakinj? Mpaka kakufata hapa? Acha maringo wewe mtoto wa kiume loooh! Collins anamwambia mama sitaki majingu. Koku anamchokozaa ila ana ushepu aiseee. Pale umepataaa. Collins akaondoka zake.

Usiku kalala anatafakari msichana ndo yule yule na sura imeanza kumjia vizuri sasa. WHAT NEXT! Na kwanini zikija ishu kuhusu huyo msichana anakuwa so jummph, so unfocused ana doubt every next move he wants to take, hana coutage kabisaa, mpaka kujificha kwenye gari, wakayi wasichana wengine he can lie to them while looking them in the eyes. Akakosa majibu mbadala kabisaaa.

ITAENDELEA SAA TANO USIKU HUU.
 
Na iendeleee tu maana hamna namna,roho iko juu juu kama stering ya trekta hapa
 
Lara ichi sio kipaji!! Bali nakiita kipawa love your story always.
 
Compact leo nakuvunjia junguuu! Njoo useme hapa kama nabahatisha sasa! Njoo!
Hahahahhaha! Bibi,sikutaka kucoment maana nilijua tu utavimba kichwa. Kumbe ulienda kujipanga vizuri siku ile nilipokuchamba eeeegh! Sawa ajuza lakini bado sijaona,endelezea dude lara 1
 
WALTER DARESALAAM!

Walter akaendelea na mafunzoo kama kawaida akijitahidi na kujituma sanaa. Siku hio ametoka kwenye mafunzo, akasema ajilaze mchana, mwenzie akamwambia oyaa usilale mchana utaota ndoto mbaya sanaa, mchana sio mzuri kulala kabisaa. Akasema bwana silali nasinzia tu kidgogo. Katika kusinzia akajikuta ameota ndoto kabisaa. Katika hio ndoto yuko kwao Arusha amekaa na wazazi wake sebuleni wanaongea swala nyeti sanaa. Akastukaaa! Akajitahidi kukumbuka waliongea nini hakuweza kukumbuka

Akajikuta anamkumbuka sanaa baba yake mzazi na waosia wake akajikuta tu ana kiu ya kujua kwa nini baba yake alikuwa vile. Akamkumbuka tu mama yake mzazi pia, akawaza sasa sijui atakuwa anaendeleaje. Akajilaumu kweli kwanini alijibweteka na kumsahau mzazi wake. Kuwa kwake mkubwa akajikuta kapata kiu sanaa ya kutaka kujua kwnini mzazi wake yuko vile. Akajiambia tu nikimaliza mafunzo nitarudi nyumbani kwetu kabisa Arushaa. Baba atakuwa proud na mimi na maendeleo yangu.

Akiwa mafunzoni hapo hapo kuna mdada ambae ni mwalimu wao wanaitwa wakufunzi amabe ni comandoo na mpelezi wa kuaminika kabisaaa, amesoma sanaa, China, na ana uzoefu wa nchi mbali mbali ndo mwalimu wao wa moja ya course zao. Huyo dada ni mtu mzima kidesign sio sanaa, kama miaka 30 na kitu hivi, hajaolewa wala hana mtoto. Akawa anamsifia sifia Walter na nini, na kwa mtazamo Wlater akajua tu dada kamuelewa na anamletea invitation to treaty. Sasa Walter akawa anamuogopa design pale sio kitaa ni kama jeshini akisema amle yule dada afu design siku wakizingiuana atamfelishaaa. Akaamua kujifanya boyaaa tu haelewi somo.

Mida ya jioni yule dada atamsaka Walter hapo kambini mpaka amuone, akimuona tu ataanza kujifanya kamuona bahati mbaya na nini, wakati kamuulizia kila upande, Walter atajibu kwa unyenyekevu wote, atamuuliza una plansa gani leo, Walter atajifanya najisomea kidogoo, dada atamwambia karibu kwangu nimepika chakula kizuriii, pilau la kuku wa kienyeji. Sasa Walter moroho afu chakula kule kibayaa hatari atakubali kwenda kwake kula jioni.

Jioni akifika kula dada anaandaa meza, Walter anajipakulia msosi kibaba mwenye nyumba kabisaa, bahati imemdondokea tenaa, atakula mpaka ashibe na abeuee, atachukua na bia ya kushushia. Basi dada wa watu alikuwa so lonely ataanza kumsimulia kuanzia alivokuwa mdogo, jinsi baba yake alivokuwa na cheo jeshini, jinsi yeye alivokuwa na akili sanaa na kufaulu kwa ufaulu wa juu. Na jinsi anavolipwa hela nyingi hapo, mwalimu flani na flani hampati kwa hela kabisaaa.

Yule dada anaweza kuwa mkufunzi wa usalama ila Wlater ni mkufunzi wa wanawake, Wlater akamsoma yule dada akamjua kabisaa ni control freak afu mtu wa amri sanaa. Yaani hajui kuomba kitu au kutumia diplomasia kupata kitu anachotaka. Exactly kama yeye Wlter. Wakawa wamekutana wote watu wa kupenda kuamrishaa na kuforce wapate wanachokitaka. Sasa maadamu yule dada alikuwa na cheo pale, Walter akaamua kujishusha ila aendele kufaidi misosi kama baba mwenye nyumba, na aendelee kupata heshima kwa vijeba wenzie maana kiukweli dada yuko so fashionable, so beautiful n watu wengi walikuwa wanamtamani na kumtaka tatizo kubwa likawa hizo amri mari zake na dharau ukichangia ni mnyakyusa kuomba msamaha kwake ni mwikoooo. Watu wengi wakajikuta wanamnawa.

Kingine Walter ambacho alikuwa hakijui kusu huyo Inspector Mwalugaja ni kuwa maboss wengi pia walikuwa wanamtakaa, kwanza sababu ya cheo cha baba mtu waweze kupata vyeo zaidi na pili uzui wake pia ulikuwa wa kuvutiaaa sanaa, wakataka nao wapige mihuri yao basi. Hio ndo sheria ya jeshi lolote ukiwa mkubwa jeshini ni muhimu kwa maboss kupiga mihuri yao kuwa na wao walipita. Sasa she was so rich, and so smart kwa hio wakashindwa kumuintimidate watembee nae, maana baba yake nae mzitoo sanaa, wakashindwa kumuhonga maana nae alikuwa anakula hela ndefu pia hapo.

Walater akamjulia Inspector, akawa kampanga tayari anamcheza kama karata. Akishakula akiona kashibaaa kabisaa kitumbo ndiii anatafuta kakitu kadogoo kokote ili amkere tu inspector, afu inspector apanick na kumfukuza kwake mkuku mkuku ili aimuombe mambo. Siku ya kwanza anajua inspector ni bonge kimtindo, sio sanaa ila ana extra KGS za kutosha sababu anapenda kupika sanaa. Wamekula wameshiba Wlater akaanza story from no where "Mi sipendiiiiii yaani sipendiiii wanwake wanene. Nikiona mwanamke ana kitumboo na minyanyama nakerekaaa, siwezi kumpenda in short ananiboaaaaa!" Anaongea hivo huku anamwangalia Inspector kwa jicho pembe.

Inspector akabakia kimya kama dakika 5. Aseme nini sasa. Hahahaaa! Ukizingatia alivo kauzu na mwenye kuogopewa hapo kambini sio mtu wa kumbiwa maneno ya kiboyaaa kama hayo na Walter. After all ukarimu wake wa kumpikia buree, kumlisha kweli kweli kweli kabisaa that is the THANK YOU anayoipataaa. Akahisi jazba kubwa inmpandaaa kupita maelezo. Akamwambia Walter nenda ukalale mda umeenda sanaa. Wlater anajitia shocked kama haelewi what is wrong, why sudden change of atmosphere, anajitia kuondoka kwa shingo upande akitoka nje anashusha pumzi Huuuuuuuuuuu! Ashashiba na kapunch kutumikaaa kirereja.

Basi inspector Walter akiondoka anampigia simu mama yake anlia, He called me fat mummy! Cn you believ it? After i invited him for dinner, i cooked for him like you advised, and everything was going on so well mommy then you wont belive it he called me FAT! I am so dissapointed mummy! waaaaaaaa" Mama yake anamuuliz "How did he call you fat? Did he just say it to your face Janet you are fat? how did he exactly say it? " Basi inspector anaanza kumsimulia mama yake, "He just said he doesnt like fat ladies. I know he was saying he doesnt like me because i am fat politely" Mama mtu anampoozaaa "Ooooh he didnt say you are fat then! umejihisi tu. hakumaanisha wewe ni mnene, bali alimaanisha hapendi watu wanene sanaaaaaaaaaa. Kwani wewe ni mnene sana mwanangu? Mbona sio mnene kabisaa ni wa kawaida tu. Sema una panic nahisi alivosema hivo ulimrusha dirishani nakujua mwanangu hahaaaa" Inspector anapata moyo "Sijamrusha nilikaribia kumrusha bt nilimwambia tu akalale kwa amri lakini si unanijuaaa!" Mama mtu anamsisitiza " You are 35 we are running out of time, it is a while since you liked some body the way you like him, you should try harder, to get him to like you. be nice to him okay hone? Extra nice." Basi Inspector anadakia Ok! Wnaaganaa pale basi.

Kesho anamtafuta tena Walter mpaka anamuonaa, akumuona ananza kujichekesha kama sio yeye jana aliemtimua kwake mkuu mkuu, anamkaribisha tena chakula, kama kawaida Wlater kabla hajala ni mkarimu mnooo kwa Inspector, anajisevia sosi la baba mwenye nyumba kimbembe akisha shibaaa anaanza tena upyaa janja ya fisi. Siku hio hakutaka kutumia gia ya jana kuanzisha kitu from no where akapanga atumie tpoic hizo hizo za inspector atakazozianzisha kumdiscourage.

Basi inspector akaongeza ukarimu kwa Walter hadi akakaa nae jirani kama sio yeye. Akamuuliza Walter unapenda design ya wanawake gani labda? Inspector akauliza kwa matumaini kweliii hilo swali. Wlater akasema hapa hapaa nammalizaa. Akajitia kuuliza kivipi yani? Inspector akamuuliza generally. Wlater akasema kiukweli mi napenda wanawake wanaokaa nyumbani wasio na malengo ya maisha, wafanye navotaka mimi, tusaidiane kutimiza ndoto zangu, na kunifanikishia malengo yangu kwenye maisha. Sipendi kabisaaaaa wanawake wasomi, ni wakorofi, wanapenda kumtawala mtu na klumpanda kichwaniii, yaani wamenitokaa, mi mwanamke akishasomaa siwezi kumpendaa kabisaaa.

Inspector akaganda kama barafuuuu kwa ghadhabu, akamwambia Wlater mda wa kulala umefika usiku mwema. Hahahaaa! Wlater anajifanya kujichetua sijisikii usingizi akamkuta ashabadilika sura, akanyanyuka kuondoka. Huku inspector kama kawaida simu kwa mama na vilio juu."Mommy we fought again? mommy i am so bda in getting men to like me." Mama anamtuliza it is okay, you will be oaky tell me. nini kimetokea leo jana tuliongea vizurii. Anamwambia kasema hapendi kasema wanawake waliosomaa. Mama akamuuliza alianza from no where? Inspector akamwambia no nilimuuliza anapenda wanwake gani? Mommy yuko oooh, basi usiwe una panic, wewe baada ya kusema hivo ungejitahidi kumuonesha kuwa wanwake waliosoma hawako kama anavowaza. Control your temper. Basi Inspector anamwambia Mommy i wish i was you, you know so much about men. Mommy anambembeleza mwanae, it comes with age hata wewe ndo unajifunza mamito wangu. Wanaagana na mama yake.

Walter akamkwepa kama wiki hivi, akawa akimuona nabadilisha njia, akijua sehemu flani yuko mida hio yeye haendi wala nini. Akiwa kwenye harakati za kumkwepa siku hio, kumbe Inspector ashamuona akajua kabisa Wlater yuleee ananikwepaaa, akamzungukia nija ya pili alikokuwa amelekea kuji exile, hana hili wala lile inspector huyu hapa! Wlater akastukaaa! Inspector akamuuliza mbona kama unanikimbia Walter kwani kuna tatizo kati yetu? Wlater akajikoshaa hamnaa hamnaaa hamnaa tatizo. Akajikoshaa vipi leo nije nile? Inspector akatabasamu.

Jioni kwenye misosi kama kawaida akakamuuaa menu, alivoridhikaaa. Yakaanza maongezi baina yao, Mda wa maswali na majibu. Basi inspector akamsimulia how her family is great, full of love, na nini, akamuuliza sasa Walter about his family. Walter akanyanyuka mwenywe bila kuambiwa akasema Walter mda wako wa kulala umefika akatoka zake nje. Inspector akabakia kaduwaa na kujiuliza kasema nini kibaya? Tofauti na siku zingine siku hio Wlater hakucheka njiani wala nini alikuwa tu na mawazo. Usiku usingizi haukumjia kabisaa hasa akikumbuka familia ya Inspector.

Inspector akapiga simu kwa mama yake na kumsimulia kuna kitu cha ajabu sanaa kimetokea leo, hawajagombana but Wlater ameondoka akiwa ni mnyonge na yeye hajase kitu kibaya chochote wala haja muamrishaa. Mama akamwambia tell me more. Akamsimuliaa. Mama akamwambia watu wngine familia ni issue sensitive hajakujibu pengine angekujibu angekujibu vibaya it is better aliji excuse. Wakaagana na mama.

Walter akakat shauri aende Kariakoo siku hio mchana kununua redio imliwaze usiku na mawazo. Akaingia duka maduka kadhaa ya electronics hakupata redio alioitaka. Mwisho kabisaa akaingia duka moja akakuta hio redio. Bei kidogo ilikuwa juu, akamuuliza mbabu hamuwezi kunishushia kidogo hii redio, babu akamwambia kaongee na mtoto wa tajiri pale counter atakupunguzia hana shida. Ila jiangalie usije kumuona poa ni gaidi hamna mfano.

Wlater kumuona huyo binti wa kiarabu moyo ukafanya paaaaaah! Akajikuta tu kavutiwa nae. Ni mda mrefu sanaa toka avutiwe na mwanamke mpaka moyo ufanye paaah! Akamsogelea kuomba punguzo. Akampunguzia. Wlater kujitia mkufunzi wa wanwake si akajitia kumtongozaa. Msichana akaita babu Aliii mtoe huyu mteja njeee, na rudisha redio juu hakuna mteja hapa. Walter akaanz kule fujooo kufosi auziwe redio. Iqra anamkomali redio hatuuzi si ya kwetu, tokaaaaaaaaa! Walter akagoma kutokaaaa. Ikawa kitimu timu kikubwa hapoo

Iqra kuona babu Ali keshapigwaa, Hamis kapigwa, Mwajuma kakikmbia akawa mdogoo, Wlater ndo mashetani yake yamempandaa ana jazabaa za hatari, Iqra akasema leo napigwaaa, mtumeeee. Akaitoa redio chini ya counter akampa potelea potee hata asipopewa helaaa, Walter akamtupia helaaaaa chini, akachukua redio na kuondoka zakeee. Baadae ndo Hamis anarudi na baba Iqra akiwa na bunduki, anauliza yuko wapi huyo mwanaharamu, yuko wapi? Vipi mama amekuumiza wapi? Akasema tu hajaniumiza , wakaokota zile hela chini.

ITAENDELA KESHO BAADA YA FTARI.
 
Back
Top Bottom