enjai ya kyasha
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,065
- 3,585
umeamua kunianika jukwaan?
Njoo kwangu utakacho nitakupa ni pm tu mambo mubasharaSifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
tuedelee kuvumilia hivyohivyo tu mkuuMwaka huu wenye tududu tudogo tunasakamwa sana sijui tutakimbilia wapi maana papuchi bwawa Kila tunaekutana naye
Umesema??? Hebu rudia kwa sauti, wale kule nyuma hawajasikia. Nyie nyamazeni. Haya rudiaUnapotangaza kibamia cha mtu JUA PIA UNATANGAZA UKUBWA WA PAPUCHI YAKO..!!!
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Vip ndio wewe umepigwa chini na demu wako??Kibamia maumbile kayaumba Mungu bwanako hakuyataka pesa kamwombe baba'ako shamba hayo mapenzi uliyoyataka si'ungemfundisha?
Wewe ndo muhusika kweli?Daah, nimekaa kimya na kusoma comments za watu japo hawamjui mtu mwnyw aliyesemwa.
Ni bora ungeniambia tu mwenyewe live, kuliko kurusha jiwe gizani kwa members wenzetu humu JF.
Ni kweli kbs, mimi ni bahili, sijakataa. Ila sikuona sababu ya kutawanya pesa kwa jinsi ulivyokuwa unademand. Ulikuwa too demanding. So ni bora uende aisee.
Ishu ya kuwa kibamia au kutokujua mapenzi, ni ngumu mimi kma mhusika kujua. Ninachojiuliza ni kwamba, MBONA MIMI SIJATAKA KUKUSEMA HUMU KWAMBA KILA NIKIPIGA BAO ULIKUWA UNAJAMBA...??? Mbn nimekutunzia siri yko ila siri zangu hutaki kuzilinda..??
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
haaaaa haaaaaa haaaaa we dada kiboko
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu.
1: una kibamia
Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please.
2: ubahili
Bora ungekua sio bahili ningeweza kuvumi hata hicho kibamia, kila siku kulia hali ngumu uchi wa dezo kaombe kijijini kwenu.
3: Hujui mapenzi.
Yani kitandani we ni bure kabisa, huna unachojua,
Unikome mxyuuuuu
Akikujibu nitag madameyupo humu??