Weekend story: Bad wives

Weekend story: Bad wives

EPILOUGE!

Sidney!
Kifo cha Amar kilibadilisha mambo mengi maishani mwangu, sikutegemea itafika siku Amar angefariki, nilijua tu he would be luckier and luckier. Nikawaza tungekuwa wote wa 3 ndo tumekubwa na kiama kile, kama sio kumtoroka hotelini asubuhi siku ile tunbekuwa wote wa 3. Jamani.

Ilichukua muda kuamini he was gone for good, and he was not going to come back. Ingekuwa people can come back from the dead Amar angekuwa wa kwanza kurudi. He was gone and never coming back. Kila nikimkumbuka mpaka kesho nalia, nalia machozi. Alizima kama nyota ya jaha, ghafla tu. Life can be so short.

Police tumeona kabisaa na nimezaa watoto wengine 2 wa kiume, wakike yule yule wa Amar, we are going strong. siku hizi ana hela hela sijui anapata wapi, na yale mambo yetu anayawezaa. Kungwi alinielekeza mambo ni kupendanaaa tu, zile ishu mnaelekezana tu mbona atakuja kuweza mpaka ufurahi. Unamuelekeza anaelewa, wanaume hawanaga shida wanawake woga wetu.

Nikamuelekeza akaelewa tu, basi toka nimtoroke Amar na kurudi huku ananipenda sanaa, anafanya chochote nitakacho mwambia, hadi chumvini anazama kabisaa, hahaaa, bado tu ile ya bangi sijamjaribishia namuhesabia tu siku.

**************************************************************

Mr. Policeman

"Afande tusaidie wenzio tuna mzigo unataka kupita naona mambo magumu." Nikawaangalia machoni na kuwaambia "Itakuwa million 15 kufumbia macho na kuhakikisha vijana wote hawaoni huo mzigo ukipita na 25 millions kama mtahitaji escort yetu. Wakajadiliana wakakubalina kutoa 25million.

Hakukuwa na mla rushwa mkubwaa pale kama mimi. Nilikula kila rushwa, na kila hongo. hata alizokataa DCI na IGP mimi nilikula. Sikuogopa nini wala nini, sikujali nini wala nini. Amar taught me EVERY BODY HAS A PRICE, AND I JUST FOUND MINE.

IF YOU CANT FIGHT THEM JOIN THEM .

*******************************************************************

Amar!

Baada ya kuvuka border nikakuta Singa anningoja na wanamgambo wa kiislamu, Alshabab. Kumbe ule mzigo ulikuwa hauendi Congo ila unaenda somali. Singa singa akasimamia show, ikaishaa, wakalipa wale wanamgambo, kabla hawajaondoka Sibga singa akaniuliza do you wanna be my partner. Nikajibu Yes. nataka mgao, maana anga zimebadilika angani sikuwa na jinsi tenaaa.

Singa singa akanitwanga risasi moja ya kifua. Nikaona giza. Nikajua ule ndo mwisho, picha ilionijia mwisho ni ya mwanangu. Ghafla nikashtuka naitwa General Umar! General Umar, nikashangaa inamaana nishafika Kuzimu na General tayari, makubwaaa. Nikawa nashangaaa, nawaona warabu tu wale wenyewe.

Akaja Singa Singa, nikawa namtizama tu, akaniambia samahani kwa kukutwanga risasi, ilibidi ufe kwanza kabla hujawa partner wangu. Ilibidi ufe, uache identity yako, makaratasi yako na document zako zizikwe pamoja na wewe.

Tunavoongea kila mtu anajua umekufa na technically umekufaaa, maana kifo chako kilitangazwa magazeti mengi sanaa. Ndugu zako wote wanajua umekufa, tuliwapelekea mwili wakauzika kabisaaa. Ulikuwa umeharibika vibaya so wasingeweza kushtuka.

Now you ar my partner, you have no name, no identity, nothing, you are like a ghost. You can travel any where any time, unachagua tu documents unazotaka kutumia. Uwe raia wa nchi gani. Sisi sio magaidi perse ila tuna wa supplly magaidi silaha. their wars are not our wars, but we give them the means to win if they can afford.

Welcome to your new life. Usijaribu kuwasiliana au kurudi kwenye familia yako, utakuwa vulnerable, magaidi wataitumia familia yako kukufanyisha kazi za bure. Just be like me, a man without a name, or family. leo Singa singa kesho bohora, kesho kutwa mpakistan navotaka mwenyewe.

I ALWAYS WANTED TO DO SOMETHING BIG WITH MY LIFE, I WNATED TO BE IN BIG CRIMES, NOW I WAS INVOLVED IN REAL WARS, OF REAL CALIBER. AND BIG ,ONEY IS IN BIG WARS.I KIND OF LIKED MY NEW LIFE!

THE END.
What a suspense.. It can't end like this.. Come on Lara 1.
 
Asante kwa hadithi nzuri, ubarikiwe kwa muda wako. Ila nimejiuliza kwa mfano Sidney asingetoroka, nadhani singa asingemuacha hai yeye na mtoto nahis angewaua kweli akamuacha Amar peke yake. Just thinking
 
Asante kwa hadithi nzuri, ubarikiwe kwa muda wako. Ila nimejiuliza kwa mfano Sidney asingetoroka, nadhani singa asingemuacha hai yeye na mtoto nahis angewaua kweli akamuacha Amar peke yake. Just thinking
Au angewaua wote watatu for real... Ile ningetamani Amar, Sidney na mtoto ndo waishi happily ever after!
 
Daaah,yan machozi yalikua yananitoka baada ya kisoma amar kafa ilibak kidogo nisuse kusoma...asante lara1
 
DOOOOOOOOH!
nimependa twisting!
SHAAAAAP!
kweli everything changes excepet the law of changes itself!
DAH!
 
Ficus jamanii tutasikitika kufika ngambo bila wewe mwenzetu. Njoo umalizie story kishingo upande.
Teh teh teh! Hiyo niliisha waachia vijana wa mwendokasi, nasubiria reality show ya kiutu uzima.
Hope itakuwa weekend hii.
[HASHTAG]#Lara1[/HASHTAG]
 
What a super suprize! To me this is a sad ending. How I wished Amar, Sidney na mtoto wawe na happy ending aggrrhhh.
Bottom line, in real life Lara ni nani jamani, kati ya waandishi wakibongo bongo hata nashindwa kupata picha najaribu kusoma mwandiko wa Lara mwaka wa 3 sa hivi nimeshindwa hata ku guess ni nani in real life, I concluded, Out of JF lara huwa haandiki chochote, lakini kwanini?
 
hili muvi naona kabisa lina part II comeback ya Amar aembu nenda chimbo mama uje na part II yake naona mwisho wake bado kabiaaaa
 
LARA1 najua ipo episode ya pili..... nakushauri uindae kwa ajili ya sikukuu za Christmas na mwaka mpya
 
Asante kwa hadithi nzuri, ubarikiwe kwa muda wako. Ila nimejiuliza kwa mfano Sidney asingetoroka, nadhani singa asingemuacha hai yeye na mtoto nahis angewaua kweli akamuacha Amar peke yake. Just thinking
Good logic. Sidney kaponea chupuchupu... maana wangekua liability.....
 
EPILOUGE!

Sidney!
Kifo cha Amar kilibadilisha mambo mengi maishani mwangu, sikutegemea itafika siku Amar angefariki, nilijua tu he would be luckier and luckier. Nikawaza tungekuwa wote wa 3 ndo tumekubwa na kiama kile, kama sio kumtoroka hotelini asubuhi siku ile tunbekuwa wote wa 3. Jamani.

Ilichukua muda kuamini he was gone for good, and he was not going to come back. Ingekuwa people can come back from the dead Amar angekuwa wa kwanza kurudi. He was gone and never coming back. Kila nikimkumbuka mpaka kesho nalia, nalia machozi. Alizima kama nyota ya jaha, ghafla tu. Life can be so short.

Police tumeona kabisaa na nimezaa watoto wengine 2 wa kiume, wakike yule yule wa Amar, we are going strong. siku hizi ana hela hela sijui anapata wapi, na yale mambo yetu anayawezaa. Kungwi alinielekeza mambo ni kupendanaaa tu, zile ishu mnaelekezana tu mbona atakuja kuweza mpaka ufurahi. Unamuelekeza anaelewa, wanaume hawanaga shida wanawake woga wetu.

Nikamuelekeza akaelewa tu, basi toka nimtoroke Amar na kurudi huku ananipenda sanaa, anafanya chochote nitakacho mwambia, hadi chumvini anazama kabisaa, hahaaa, bado tu ile ya bangi sijamjaribishia namuhesabia tu siku.

**************************************************************

Mr. Policeman

"Afande tusaidie wenzio tuna mzigo unataka kupita naona mambo magumu." Nikawaangalia machoni na kuwaambia "Itakuwa million 15 kufumbia macho na kuhakikisha vijana wote hawaoni huo mzigo ukipita na 25 millions kama mtahitaji escort yetu. Wakajadiliana wakakubalina kutoa 25million.

Hakukuwa na mla rushwa mkubwaa pale kama mimi. Nilikula kila rushwa, na kila hongo. hata alizokataa DCI na IGP mimi nilikula. Sikuogopa nini wala nini, sikujali nini wala nini. Amar taught me EVERY BODY HAS A PRICE, AND I JUST FOUND MINE.

IF YOU CANT FIGHT THEM JOIN THEM .

*******************************************************************

Amar!

Baada ya kuvuka border nikakuta Singa anningoja na wanamgambo wa kiislamu, Alshabab. Kumbe ule mzigo ulikuwa hauendi Congo ila unaenda somali. Singa singa akasimamia show, ikaishaa, wakalipa wale wanamgambo, kabla hawajaondoka Sibga singa akaniuliza do you wanna be my partner. Nikajibu Yes. nataka mgao, maana anga zimebadilika angani sikuwa na jinsi tenaaa.

Singa singa akanitwanga risasi moja ya kifua. Nikaona giza. Nikajua ule ndo mwisho, picha ilionijia mwisho ni ya mwanangu. Ghafla nikashtuka naitwa General Umar! General Umar, nikashangaa inamaana nishafika Kuzimu na General tayari, makubwaaa. Nikawa nashangaaa, nawaona warabu tu wale wenyewe.

Akaja Singa Singa, nikawa namtizama tu, akaniambia samahani kwa kukutwanga risasi, ilibidi ufe kwanza kabla hujawa partner wangu. Ilibidi ufe, uache identity yako, makaratasi yako na document zako zizikwe pamoja na wewe.

Tunavoongea kila mtu anajua umekufa na technically umekufaaa, maana kifo chako kilitangazwa magazeti mengi sanaa. Ndugu zako wote wanajua umekufa, tuliwapelekea mwili wakauzika kabisaaa. Ulikuwa umeharibika vibaya so wasingeweza kushtuka.

Now you ar my partner, you have no name, no identity, nothing, you are like a ghost. You can travel any where any time, unachagua tu documents unazotaka kutumia. Uwe raia wa nchi gani. Sisi sio magaidi perse ila tuna wa supplly magaidi silaha. their wars are not our wars, but we give them the means to win if they can afford.

Welcome to your new life. Usijaribu kuwasiliana au kurudi kwenye familia yako, utakuwa vulnerable, magaidi wataitumia familia yako kukufanyisha kazi za bure. Just be like me, a man without a name, or family. leo Singa singa kesho bohora, kesho kutwa mpakistan navotaka mwenyewe.

I ALWAYS WANTED TO DO SOMETHING BIG WITH MY LIFE, I WNATED TO BE IN BIG CRIMES, NOW I WAS INVOLVED IN REAL WARS, OF REAL CALIBER. AND BIG ,ONEY IS IN BIG WARS.I KIND OF LIKED MY NEW LIFE!

THE END.
Sasa hii ndio ninitena Lara1!? Mbona unamaliza story kibabe namna hii?
 
Story nzuri sana walah
Nimependa wahusika wanavyojielezea situation zao!
 
Hahahaaa Lara 1 Avator yako inanikumbusha mbaaaali sana mambo ya Skin Diamond
 
The privillaged!
Masaki! i am here baby! Finally. I never thought this day will come. Kila nilipopita mahali hapa nilitamani na mimi niwe mkazi wa eneo hili. The upper side. And now i am here. Unaweza kushangaa why a small thing means so much to me, usiumize kichwa nitakwambia.

Nilivokuwa mdogo by the age of 5 or 6, nilikuja Coco beach na baba yangu, nikamuuliza nani anakaa kwenye hizi ghorofa, akaniambia watu matajiri, nikamuuliza kwanini sisi sio matajiri? Cut me some slack i was just 6, akaniangalia usoni akaniambia kua uyaone. ila mood yake yote ilibadilika.

Kama una dhani that was the stuppidiest thing i ever asked my dad you are absolutely wrong. Among series of abusive questions to my parents i also blamed them for my low IQ, Low life, low looks, low everything. I was ugly, fat, unbright, lazy, unexposed and uneverything. The best my parents hoped for was i find a man, a good man who will have it in him to take care of me for the rest of my life mean while i bear him countless babies, wash his panties, cook him food and rot in the kitchen like other millions of typical Tanzanian women.

That was plan, and it was going well, because my mom never hoped i will see the corridors of higher education, she never wnated me to feel stupid as i was, because like any other mom she was supposed to be the last one to see things for what they are, but she had to prepare me. she taught me to cook well. kwa misosi sina mpinzani. Usafi ndo usiseme, na cha ajabu alinihimiza kupenda kushona, na akaninunulia cherehani kabisaaaa. My sweet mommy.

The day i knew i was stupid, dumb and dummy ni siku mzee alikuwa akimwambia mama, Mungu katujaribu mke wangu, majaribu mazito, silalamiki wala sikufuru, ila mtoto 1 afu ndo huyu uwezo wake mdogo sana kiakili. Mi nikistaafu itabidi tujipange sanaa. nimesomesha watoto wa kaka zangu, dada zangu, sasa sijui kama watamkumbuka huyu mwanetu. Na hata wasipomkumbuka sitowalaumu kwa kweli. Tuombe tu Mungu.

Any normal kid angepingana na hio observation ya mzazi wake , angejitahidi kimprove wrong mzazi wake, angefanya mengi, ila mimi kwa udogo wa akili yangu nikakubaliana na huo ukweli kwamba mimi ni mjinga and i will nevr be anything, my only shot is to depend on people always to take care of me. I became afraid of everything and everyone. I depended on peoples opinions and decisions, i just couldnt trust my dumb mind at all. Nguo lazima nimuulize mama nivae ipi, kwenda mahali lazima nimuulize mama niende ama nisiende.

Watu walivokuwa wakinisema huyo mtoto mbona kama mjinga mjinga, mama alikuwa defensive sanaa, aligombana na kila mtu na kumtenga. "Huyu mtoto aliumwa sanaa alivokuwa mdogo, mwanao angeumwa kama huyu angekuwa kafa siku nyingi sanaaa. Naomba umwache kabisaaa, magonjwa yashamnyanyasa sanaa, kama huwezi kukaa na sisi tokaaa." People learned to be positive about me by force.

The first day i went to my primary school, second primary school manake ya kwanza niliamishwa, ilikiwa hizi za kawaida kayumba kwenda international za english medium sikupata rafiki wiki nzima. i just never knew how to make friends. Kila nikirudi mama anauliza umepata shoga? Namwambia bado, wanaongea kingleza afu mi sijui. Nakaa tu peke yangu. Mama akawaza na kuniuliza Pricilla mnasoma nae? Huyo mtoto wa Mwita? Nikamwambia ndio, ila hanisemeshagi shule sijui kwanini.

Jumapili kafanya manuvaaa mpaka kaifikia familia ya pricilla kanisani mda wa kutoka, akamsalimia mama Mwita, kumbe walisoma wote Jangwani zama hizo walikuwa mabest, Akawa anamwambia na wanetu wawe ma best. Pricilla yupo no mama, she is a dummy, no bad likes her. akachezea kofi moja takatifu toka kwa Mama Mwita chezea Ticha wewe. akaulizwa unatakiwa kusemaje "Yes mom"! Mama Mwita was a nice woman, akawa anamwambia tu mama bado yuko slow, atachangamka, aliumwa sanaa udogo wake. Bt she will be fine. Uje nyumbani tuongeee. blah blah blah tukaachana nao.

Jumatatu Pricilla akanisalimia Bonge mambo? Nikasema poa. Honestly i dont like you, neither do my friends but my mom said i should look after you, i guess now you are in my crew. Utafanya vile nataka, uko tayari. Nikawahi ndio. Then i became A lister, because Pricilla was an A lister. She was bright, the dad was rich some CEO, mama head mistress, analetwa na gari na kufatwa na gari my life could never get any better with the exception za kutumwa kila saa na Pricilla, kumbebea begi, kumpeleka kokote anakotaka kwenda, like her personal property. But life was good, i got to go in every party and all the boys in school were nice to me cause i was Pricillas girl.

Ngogoooooooo! Ngooooooo! Nikastukaaaa, ndo kwanza nahamia nani ananijua Masaki hii? Afu hizi apartment hamna wenye nyumba kugonga sijui nini, ngoja nicheki. Nikaenda kufungua mlango. Nikakuta kundi la wanawake mlangoni. Tobaaaaaa.

ITAENDELEA
A very thrilling narrative ! You are a superwoman indeed.Hope to catch up with u next time.Jah bless !
 
Back
Top Bottom