Ndo weakness kubwa ya ajira portal,,anaenufaika ni yule ambae amamaliza juzi lakin wale wa miaka ya nyuma ni ngumu kutoboa maana vitu vingi wamesahau ,mm naona tamisemi palikua panafaa zaidi maana wao ni wengi na ninajua PSRSS Hawawez kumudu usaili wa watu 250,000
Natafuta kazi yoyote ile.Nimesoma bachelor of business administration (Accounting) nimehitimu 2018 lakin tangia nimemaliza chuo nilikua nikufundisha o -level masomo ya basic mathematics na geography kwa mda wa miaka 4,now nipo free kufanya kazi yoyote ile ikiwemo kufundisha Basic Mathematics...
Babu we Acha tu kulalamika we omba uzima tu mambo ya ajira waachie wenyewe maana ajira zote %kubwa ni za mchongo yaani mnaenda kufanya interview lakin tayari kuna watu wapo kazini wanaendelea na kazi..
Naitwa costantine malando nina umri wa miaka 26 natafta kazi ya kujitolea ktk kampuni lolote hapa tanzania na nje ya nchi.
Nina degree ya kwanza ktk usimamiz wa biashara ktk kitengo cha uhasibu yaan bachelor of business administration in accounts.
kwa malezo zaidi tuwasiliane kupitia ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.