Maho gel
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 308
- 99
farisayo 0766633753 naomba unichekisikuwa nina maana ya kulalamika nilikua nashangaa kuona mfumo walioutumia kuchagua waliopita thats all ila sio kesi niko kwenye ajira rasmi maana naona wengi wenu mme comment kama kwamba tunavita ...ila pia ni changamoo ...niwashukuru wale mlonipa majibu mazur ya kunifanya nielewe mbinu zao ila nyie mazuzu endeleeni na vumbi enu ndio maana hampati kaz na hata mkiitwa kwenye oral interview hamchaguliwi kwa kuwa mna kaul mbaya na hata mkijibu mnajibu vibaya...ASANTENI WANA JAMVI