Recent content by mack12345

  1. M

    WanaChadema wanaendesha kampeni katika mitandao ya WhatsApp Magufuli ashindwe tuzo ya FORBES 2016

    Hii yote bado wanakumbuka maumivu ya kuibiwa kura 2015 kiuhalisia imekua ngumu sn kwao kusahau kwa jinsi wanavyobanwa no democracy, ajira hkn, maisha magumu kl siku nk nahc ndo maan wanazd kupambana kudai haki yao bt
  2. M

    Kwanini watu wanavaa saa mbovu/zisizo na majira?

    Kumbe tupo wengi mi nkununua saa ckumbuki kununua betri kabisa na nshazoea
  3. M

    Makosa 10 aliyotenda Mungu

    Mungu akusamehe kwa maan hulijui ulitendalo hakika mawazo ya Mungu ntofauti na binadamu Mungu anapenda watoto wk wote wawe waovu au wema kwa waovu hawaadhibu kwa kua anaamin ipo ck watabadilika na kumrudia yeye na c kwamba Mungu hatupendi anatupenda sn na swala la kusema kua yupo mafichoni...
  4. M

    Waziri Angella Kairuki: Serikali itaanza kutoa ajira mwakani

    Daaa hii serkl noma hii inatokea tz dunia nzima km viongozi wenyewe wana ahadi hewa ss wanatafuta hewa nyingine ya nn??? Waache kwanza ahadi hewa afu ndo waje kushughulikia hewa nyinginezo
  5. M

    Sumu inayosambaa mitaani dhidi ya Magufuli, Mungu ingilia kati

    Usiumie we vumilia usubiri mpk 2020 utajionea mabadilko makubwa sn ambayo hutayategemea cz hali itakua ngumu sn, hela hkn, ht wale walokua na imani kidogo watakimbia so haitakiw kuongea sn tusubir 2020 upinzan ukichukua nchi ss ht mwaka hujaisha mmejionea mazuri na mabaya mengi so mpk hy minne...
  6. M

    Wangwe: Rais, katika hili la IPTL bora lawama kuliko fedheha

    Hii serkl inatumbua vipele lkn baada ya kuvitoboa huviacha tu bila kuweka dawa ya kuviua kapisa yaan kuwapeleka mahakamn na kushtakiwa km vipele tu vinatobolewa havipati dawa ya kuviua kabisa sembuse majibu makubwa ndo yataguswa kweli kwa hali hii kuna uozo mkubwa sn ili kutatua hili swala...
  7. M

    Haya ya HESLB, TCU na ukosefu wa ajira yanaumiza!!!

    Tatizo cc wabongo siasa zinazid ukweli hp kifup ni bora wawe wawaz kua nw hakuna pesa watz mbona cc waelewa ila tatizo kila kitu tunajikita kutaka sifa tuonekane kwny media na siasa za chama ndo huvuruga haya yote
  8. M

    KILIO CHA AJIRA: Ukimya wa Rais Magufuli waleta hofu

    Uhakiki c ulishwa tangazwa kua unaendelea mpk mwz wa kumi na moja chini ya NECTA
  9. M

    Nimepatwa jamani, naombeni ushauri wa kunitia moyo.

    Uc angaike kukurupuka kutafuta mwingine wendo akaja kukutesa zaid cha msingi mngeukie Mungu wako yeye hana kigeugeu wala habadiliki badiliki km cc binadamu tulia kwake piga goti mwombe nae atakupa sahihi alokuandalia tangu kuumbwa kwa misingi ya ulimwengu
  10. M

    Alikiba kwani ukijishusha kwa Diamond utakufa?..

    Tambua mtu mzima hawazi kusema neno ukalichukulia juu juu yy ndo anajua akisemacho cc ni km tulo nje ya gereza so walo gerezan hujua yanayoendelea ndani kwann kiba awe anaongea kl ck ???
  11. M

    Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

    Hayo ni mawazo dhahania daima mawazo ya ingekuwa ni mawazo hasi yaso kua na mushikeli na hua na hofu ndani yk na ni yakujipa moyo
  12. M

    Magufuli ni zaidi ya Nyerere

    Hacheni kumfananisha mkombozi wa bara la Afrika kwa kiasi kikubwa ktk kudai uhuru na kuweza kuondoa ukabila ht km katangulia mbele za hk na mtu ambaye ht kuweka uhusiano mzuri na wapinzn inakua shida, kutoa ajira shida, maisha magumu lkn anasema serkl inahela ila kumbk Baba wa Taifa alkua...
  13. M

    Asante Rais Mwinyi kuifutilia mbali sera ya kimasikini ya Ujamaa na kujitegemea ya Nyerere

    Kaka tusiongee kwa kuikosoa sera ya ujamaa kwa kuegemea kwenye mkabala wa kimagharibi tu hv mkuu ww sera ya ujamaa hujaona mazuri yk ona sera hii imeondoa ukabila na kuishi km ndugu unaoa utakapo na unaishi utakapo na omba nkuulize swali kwa mfano ubebari ungekufa kwny vita barid na USSR chini...
  14. M

    Mungu wa Kabili: Ali Kiba kuzimiwa microphone Mombasa ni ushirikina

    Hakika yupo Mungu pekee ambaye ni Baba wa mbinguni yy baraka zk hazina mashart wala mateso km utamwamin ila kila mtu na iman yk anayohis ndo suluhisho wa matatizo
Back
Top Bottom