Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Fikiria leo hii Lowassa angekuwa Rais!

Na magufuri akijiunga Ukawa 2020 atakuwa sio dictator Tena atasafishwa Ah ah ah ah ah ah Siasa Bana rahaa sanaa eeh

MAGUFULI ASINGEJIUNGA UKAWA, ( SHOW ME YOUR FRIENDS I WILL TELL YOU WHO YOU ARE) NIONYESHA MARAFIKI ZAKO NITAKUELEZA WEWE NI MTU AINA GANI. ANGALIA MARAFIKI ZAKE EAST AFRICA, NI KAGEMI ALIYEIBADILISHA RWANDA KWA MAFANIKIO YA WANYARWANDA WOTE. 98% YA WANANCHI WALIMUOMBA AENDELEE NA UONGOZI. NCHI NDOGO IMETOKA KWENYE VITA YA WENYEWE KWA WENYEWE AMEIBADILISHA IMEKUWA TA WANYARWABDA WOTE NA HESHIMA JUU DUNIANI. NA RAIS MAGUFULI ANATAKA KULETA MAENDELEO HAYO LAKINI MAFISADI YANAMPINGA, WAMEZOWEA KUNYONYA DAMU ZA WATANZANIA WENZAO KWA MANUFAA YAO. HAPA NI KAZI TU NA ASIYEFANYA KAZI ASILE
 
Wewe ni mchochezi nashangaa bado upo hapa jamvini

MIMI SI MUCHOCHEZI MIMI NI MUSEMAKWELI. WACHOCHEZI NI WANAOJENGA UKUTA KUIPOTEZEA WAKATI SERIKALI AMBAYO INA KIU YA KUWATUMIKIA WATANZANIA. KWANI SERIKALI YA RAIS MAGUFULI NI KAZI TU NA ASIYEFANYA KAZI ASILE
 
Mafisad
Lowasa asingekuwa na jipya tofauti na kupongezana kwa kazi kubwa ya kuchakachua kura na kugawana wizara na mipango ya kwenda kujitambulisha nchi za nje, fisadi hana huruma, na Lowasa hakuwahi kuwa na huruma na hakuna siku atakuwa na huruma kwa watz, na ndo maana kura zake hazikutosha, ss wameanza siasa kwa kutumia kifo cha Mawazo. Watz wameshachoka na UKAWA kwa sasa, kwani wamepata Raisi bora na si bora Raisi.
Mafisadi wote na wapiga dili maarufu ingekuwa ni kicheko zaidi . Sasa Mungu naye Alishaakataa kabisa na haita tokea. Na watu wote waseme amina
 
>mapato yangekuwa chini ya bilioni 900 kila mwezi maana wale rafiki zake wanajua kula na kipofu. Ndo maana shuleni ukifika wakati wa uchaguzi wa viongozi, wanafunzi hupenda kuchagua kiongozi wanaejua namna ya kumtumia kwa maslahi yao.

>mfumuko wa uchumi ungekuwa umefiki 3.0 maana

>dollar ingekuwa imefika tsh elfu tatu kwa dollar moja.

>elimu bure hadi chuo kikuu wananchi ungekuta wameshageuziwa kibao kwamba "kama huwezi kusomesha acha kuzaa" nakumbuka mwaka 2006 alisemaga kwamba "ni aibu kwa mwanaume kuoa halafu unaenda kuomba chakula cha kulisha familia, bora usioe".

>kwakuwa angeshindwa kutoa elimu bure hadi chuo kikuu, safari za nje ya nchi za kwenda kujificha, zingekuwa nyingi kama za baba anayedamka saa 9 alfajiri na kurudi saa 5 usiku ili asionane na watoto.

>utendaji katika ofc za umma ungekuwa wa ovyo sana maana ungekuta ma DC na ma DAS ni wale mama ntilie walioahidiwa madaraka ya juu pamoja na vinyozi.

Afadhali Mungu alituepusha nae hakika sala zetu zilipokelewa. Sifa na Utukufu ni kwako Baba wa Mbinguni.
 
Hayo ni mawazo dhahania daima mawazo ya ingekuwa ni mawazo hasi yaso kua na mushikeli na hua na hofu ndani yk na ni yakujipa moyo
 
wanaomsifia aliyeko madarakan wana roho ngum mno, n suala la mda tu wataishwa pumz mana hal n ngum mno uko ndo kuna giza
 
Waziri mkuu angekuwa Mbowe, msaidizi mr zero, mambo ya nje Kubenea, mambo ya ndani Kingunge, Elimu Mgana Msindai, kilimo Hamis Mgeja alafu ndio utegemee mabadiliko? Upuuzi mtupu ni lofa tu wa kuamini hivyo
 
Maneno ya mtumbuliwaji hayo ambaye ndugu yake anahangaikia ajira na mtoto wake amekosa mkopo wa elimu ya juu.
Sasa anajifariji.
 
Huyo hana lolote wanatuaminisha siasa ni maisha halafu wanatuletea maigizo bora tulimtupilia mbali
 
Na maandamano hayangekuwapo. Hata bombardier hazingekuwapo. Lissu angekuwa AG na Sugu angekuwa Nape.
 
ingekua vipi kama osama angeutawala ulimwengu wamarekani uarabuni wangekua sungusungu je warabu wange elimika na kutoka kweny ukungu. by mwana FA and JMO Ingekua vipi...........
 
Back
Top Bottom