Hii haina ubishi na hili inathibitishwa na watu wengi waliohojiwa kwenye kilele cha maadhimisho ya miaka 17 ya kifo cha nyerere.
HaaaahNi kuhusu nyufa nne yaani udini ukabila rushwa na muungano. Wote mtakumbuka kua mwlm alisema tunataka mtu ambae akisema nachukia rushwa hata tukimwangalia usoni tuone kweli huyu anachukia rushwa! Kwa hilo magu kamzidi hata nyerere.
Mimi bila kuona waliopokea rushwa kwenye kashfa ya escrow wakifilisiwa na kufungwa bado hujani convinceNi kuhusu nyufa nne yaani udini ukabila rushwa na muungano. Wote mtakumbuka kua mwlm alisema tunataka mtu ambae akisema nachukia rushwa hata tukimwangalia usoni tuone kweli huyu anachukia rushwa! Kwa hilo magu kamzidi hata nyerere.
ukivuta bangi bila chakula matokeo ni hayaNi kuhusu nyufa nne yaani udini ukabila rushwa na muungano. Wote mtakumbuka kua mwlm alisema tunataka mtu ambae akisema nachukia rushwa hata tukimwangalia usoni tuone kweli huyu anachukia rushwa! Kwa hilo magu kamzidi hata nyerere.
Hakuna atakayekujibu hapa hata mmojaHaaaah
Lugumi
Richmond
IPTL
Kigoda
Meremeta
Buzwagi
Kiwila
Kivuko chavu
Loading............
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Kwenye kumbukizi ya mwalimu alihutubia taifa?Subiri wenye ufisadi waje kutokwa na mapovu