Haihusiani na hiyo, ila kuna kitu kikubwa hapo, ndio maana nasisitiza fuatilia hili, kiundani, kuna vitu vingi sana nilitaka kufafanua ila tatizo muda , nikipata muda nitafafanua na kutoa visa halisi ila itapendeza na wewe ukipata jibu sahihi la.kuulizia huko nilipokushauri. Ila na sisitiza...