Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Cancer huwa inarudi ndiyo maana hatua ya mwisho ya matibabu ni kukata.Kinachompa imani kupotea kwa uvimbe baada ya kupata chemotherapy
Cancer huwa inarudi ndiyo maana hatua ya mwisho ya matibabu ni kukata.Kinachompa imani kupotea kwa uvimbe baada ya kupata chemotherapy
Picha mkuuMkuu kama ataweza hamna haja ya kukata ziwa lake atafute miziz ya maua flani hivi yanakuwa yanatoa maua ya rangi tofautitfauti kna meupe,pink,mekundu nk mashuleni mara nyingi yapo na ktk bustan hizi akichemsha yale kwa wki kama tatu ....4 anywe ktwa mara 3 af akacheki tena hospital
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Watu wa namna hiyo hawapendeli dawa chungu, ingawaje ndio zinazoponyesha, na ndio maana wanaopona ni wachache. .mtu ataonja kidogo atatema, na inaishia hapo.Mkuu kama ataweza hamna haja ya kukata ziwa lake atafute miziz ya maua flani hivi yanakuwa yanatoa maua ya rangi tofautitfauti kna meupe,pink,mekundu nk mashuleni mara nyingi yapo na ktk bustan hizi akichemsha yale kwa wki kama tatu ....4 anywe ktwa mara 3 af akacheki tena hospital
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
BORA wewe umewahi kuligundua hilo mpaka leo nawalaumu sana hospitali flani kubwa hapa nchini kwa kunificha au kutkua makini , wife aligundulika too late akiwa na shida kama hio tena akiwa mjamzito na tulishindwa okoa maisha yake akiwa hapo SEWAHAJI akisubiri kukatwa ziwa .Nilimpoteza yeye akiwa na mwanangu njiti .Habari wanajukwaa?
Mke wangu mwenye umri wa miaka 26 aligundulika ana saratani ya matiti akaanza kupatiwa dozi za chemotherapy, amepata mizunguko 8 na hatimaye uvimbe uliokuwepo kwenye ziwa umepotea kabisa.
Tangu anavyoanza tiba ya chemo madaktari walisema mwisho itabidi kuondoa ziwa kabisa ili kutoruhusu vimelea kujirudia tena. Ila mgonjwa hataki kuondoa ziwa.
Je hii inaweza kuja kuwa na hatari kiasi gani hapo mbeleni?