Ulipotoa window ukaweka mpya uliformat disk zote au ile ya window tu? yan disk c by default.kama kuna disk ingine ilibak inavitu inawekekana kukawa na virus mbaya ana repilicate anakula mafile...tafuta antivirus aina ya kasperky uweke af uskan computer nzima.
Sent from my TECNO-W5 using...
Kwan ulitongozwa kwa ajili ya nn? Kama ni ishu huwa inajulikana na kama ni maswala ya kuoana huwa inajulikana.
Sasa kama ni ishu unataka asubir nn hapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.