G'taxi
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 6,651
- 8,686
Muombe aache kazi kwenu asepe kwao mpaka atakapojifungua,na awe mvumilivu asikutegemee kwa lolote maana ndo kwaanza unaanza kufukuzia maisha.ila kama hicho kibinti ni kikorofi ndo hakitatoka kwenu hapo kitakusubili mpaka umalize masomo.na hakitakua kibeki tatu tena,kitakua ni mwenga akiwa ukweni kwao anamsubili mumewe amalize masomo.hongera bwana umeoa kiulaini maana utakuja kutoa mahali unayotaka
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA
JAH RASTAFARI MORNING AFRICA

