wanawake wengi wa kitanzania hawana ahsante sisemi wote lakini wengi unampa pesa bure 30 to 50 thousand bure akwambia hata ahsante nini hii, stupid thing in my life sema ahsante. wanataka ziada jamani kuweni na ahsante
maskini kwa nchi zingine za europé ,sio kwa afrika , nchi maskini ya europe tofauti na umaskini tuliokuwa nao watu hata viatu hawana au wanakosa kula chakula mara 3 kwa siku
mimi nimepanga fast food restaurant , vifaaa nimenunua kama 12 million kutoka china sasa hivi natafuta sehemu ya kufungua naona labda ntapata 50000 kwa siku. mawazo yoyote yanakaribishwa
shirika lilikuwa alina ndege , kwa hiyo tumepata usafiri tuwe nao kwanza faida itakuja , wengi wanataka tupinge tu kwa faida Yao . kwa upande wangu naona rais anajitahidi ipasavyo kuliko waliyopita , njaa mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.