kunguni wa ulaya
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 4,132
- 6,100
Habari wakuu,
Kuna mtu ana matatizo ya high cholestral yanayosababishwa na kula mafuta ya viwandani
swali langu je ni mafuta aina gani ambayo anaweza kutumia ambayo hayatamletea madhara? na hapo awali alikua anatumia sana nazi kwenye kupikia kwa kuzani kuwa hayana matatizo.
Ila kuna mtaalam mmoja anadai nazi zina high cholestral. Je ukweli ni upi kuwa zina madhara au hazina?
Asanteni..
Kuna mtu ana matatizo ya high cholestral yanayosababishwa na kula mafuta ya viwandani
swali langu je ni mafuta aina gani ambayo anaweza kutumia ambayo hayatamletea madhara? na hapo awali alikua anatumia sana nazi kwenye kupikia kwa kuzani kuwa hayana matatizo.
Ila kuna mtaalam mmoja anadai nazi zina high cholestral. Je ukweli ni upi kuwa zina madhara au hazina?
Asanteni..