Recent content by Mabrek

  1. M

    Habari wanajukwaa napenda kutumia haki yangu kama ilivo dhima ya jukwaa hili

    Habari wanajukwaa napenda kutumia haki yangu kama ilivo dhima ya jukwaa hili binafsi napenda kuweka wazi kwamba natafuta msichana wa kuoa na sitanii kama wengine wafanyavo umri miaka 27 ni mkatoriki ni mwajiriwa serikalini vigezo awe msichana umri asizidi miaka 27 asiwe mnyakyusa kama upo tayari...
  2. M

    Natafuta Mpenzi/Mume Mtarajiwa

    Wapi upo
  3. M

    Mh. Rais, Kwa mtindo huu FINCA itawamaliza Watanzania

    Mahuni haya hawana totauti n'a mabay port yote mijizi tu ila ipo siku yenu mtaisoma namba
  4. M

    je kwa kigezo hiki naweza pata uhamisho?

    Ok asante Sana je vp kuhama mkoa si I naweza kana au
  5. M

    je kwa kigezo hiki naweza pata uhamisho?

    Ok asante nipo shinyanga nataka kuhamia dodoma
  6. M

    je kwa kigezo hiki naweza pata uhamisho?

    Habari wanajukwaa poleni n'a majukumu lengo langu niombe ushauri kwenu kuhusu utaratibu wa uhamisho. Mimi ni mwalimu secondary nilivamiwa n'a kupigwa n'a mtu ambae ninamfahamu nikaumizwa Sana nilienda kuripoti polisi n'a kupewa p3 nikapatiwa matibabu Hali yangu kiafya imeimarika kidogo tatizo...
  7. M

    Kamwene vayawe

    ndugu zangu wahehe pole na majukumu can mengi xana naomba nyimbo za kihehe mgoda mkali na nyinginezo napatikana what's up 0719792697 tulipamwinga
  8. M

    Nini maana na chanzo cha msemo huu maarufu hapa JF?

    chanzo chake ni mbeya yaan maharage ya mbeya huwa mepesi kuiva yakipikwa vivyo hivyo maharage hayo ya mbeya hufananishwa na wanake wa huko ambao huwa wepesi kuwakubali wanaume pindi wanapotaka mzigo
  9. M

    Naombeni ushauri wa kisheria kwa hili

    asante kaka.kumbe mambo bado magumu kiasi hicho? ni bora kutembea kwa mguu kutoka tanzania mpaka zambia kuliko kwenda jela;
  10. M

    Naombeni ushauri wa kisheria kwa hili

    ok samahan kwa uandishi ambao haukutimia binti ana umri wa miaka 20 na mpaka sasa ana mtoto wa miez minne
  11. M

    Naombeni ushauri wa kisheria kwa hili

    habarini wana jamiiforums, poleni na majukumu ,ombi langu ni kutaka kupata ushauri kwa hili ninamdogo wangu wa kiume ni mtumishi serikalin ,kwa bahati mbaya alikuwa anauhusiano wa kimapenzi na mwanafunzi wa kidato cha tatu kuelekea kidato cha nne na akampa ujauzito,ndugu wa huyo binti walikuja...
Back
Top Bottom