Kama TBL mapato yanashuka, basi hali ni mbaya

Kama TBL mapato yanashuka, basi hali ni mbaya

Kwa nchi ambazo azipigi ulabu na bado wanafanya mambo yao vizuri inakaaje mkuu au ndio akili za kushikiwa ndo zimekosa ubunifu mbadala?mbona ile issue ya dengu watu hawajachangamkia mkuu au ndo kusena watu wanataka hela za bure tu?
Mkuu ni kweli zipo nchi nyingi ambazo hawapigi ulabu wala hawategemei mapato ya ulabu lakini kwa Tz ni tofauti ulabu unaiingizia serikali pesa nyingi sana maana sirikali kila mwaka wana kazi ya kuongeza kodi kwenye vyanzo vilevile ulabu ukiwemo sasa hapo unategemea nini, ifike mahali sirikali ikubali kuwa uchumi una kanuni zake na zisipofuatwa kamwe wasitegemee miujiza. Actually now nchi inavuna ilichopanda na bado maana naona Zimbabwe/Greece ile inakuja.
 

Ripoti ya Profit and Loss inayoishia September mwaka huu, inaonyesha kuwa mapato ya TBL yameshuka.

My take:

Hii ni indicator iliyodhahiri kuwa mtaani hali ni mbaya.
Lakini ifahamike kuwa TBL ni mlipa kodi mkubwa, sasa kama hali yao nao inasuasua je hali ya kiuchumi nchini kwa ujumla ikoje?

Ni muda muafaka sasa serikali kuchukua hatua madhubuti kustabilize uchumi, la sivyo tutakwenda kwenye recession.
Dah.....Watu wamemrudia Mungu wao...Bwana Yesu asifiwe!!!
 
acheni utani tumeamua kuokoka ili tumuombee vizuri raisi wetu
 
siku hizi viroba na chibuku imekua dili

Huu ni mwanzo tu, wanaotuambia uchumi unakua kwa kasi watatujibu...

Daaafedeki,
Hata bia ya Plisina ya kampuni ya Serengeti inanyweka sana kwa kuwa ni Tshs.1,500/= tu😀
 
FB_IMG_1479909319320.jpg
mwendo wa keroro
 
ila hawa jamaaa nawakubali mbayaa wamejibadili na hali inavosema wameleta kirikuu asee watu wanapiga na kulia kabisa
 
Kwenye taarifa ya week ya Soko la Hisa inaonyesha amna foreign investor aliekuja kuwekeza kwa week iliyoisha j3,pia ununuzi wa hisa umeshuka kwa kiasi kikubwa.
Goma kwenye sekta binafsi linazama taratibu
 
mzee umelenga maana wanywa supu ni walio lewa jana mtu cku izi unakunywa bia 3 au 4 asbui chai na mkate inapanda fresh supu ya nini?
Kudadadadadadadaadeki. No hangover, no supu.
 
Back
Top Bottom