Recent content by Mabala The Farmer

  1. M

    Gazeti la MwanaHalisi lafungiwa kwa muda usiojulikana!

    Umeshaniharibia siku,kama huna post ya maana siukae kimya,naamini na wewe ni miongoni mwa hao waliopo kwenye negatives. Mazuri yapi unayosifia kutoka kwa serikali. Na mambo ya vyama yanaingiaje humu,mpuuzi wa mwisho wewe. Watakuja kukuchukulia mkeo na bado utachekelea. Mwakyembe alitoa...
  2. M

    Pongezi Chadema kuvuka kikwazo hiki

    Jamani kuleta mambo ya CCM na Kiroboto humu jamvini na tunaswaumu zetu mimi mtanifanya nianze kunywa Pombe na Ramadhani yenyewe basi. Kichefuchefuuuuuuuu
  3. M

    Zena wa TTCL Customer Service yake Hovyo - Soma haya majibu!

    Tatizo kubwa ni hawa HR wetu maana wao waajiri kupitia Facebook na akishapewa hongo ya nyuchi. Fanya utafiti utakuta ni mbovu sana na kasomea vyuo vya Yombo huko. Even the Law of how to treate the customer she don't i.e(Treat the Customer the way you want to be treated). Unaleta jeuri kazini kwa...
  4. M

    Juma Nkamia: Ni nani wamiliki wa mitandao inayokashifu viongozi?

    Kaka umesomeka vizuri sana,magamba watalia sana maana hawapendi kutuona tunapeana mawazo chanya humu jamvini. Kwani yeye hajui nini maana ya uhuru wa habari,aende zake na umasikini wake wa habari au alitaka tusubiri TBC watuletee zilizopitwa na wakati.
  5. M

    Ndugu wa Ahmed Msangi: Maisha yetu Hatarini; Hemedi Katumiwa!

    Tondokee na swumu yako hapa,mbona mkeo akikugomea na wewe kumpa kichapo serikali inaingilia kati,kwa nini wasikuache maana umeoa! Ubishi tu basi kama huamini serikali yako imehusika basi aliyehusika ni wewe pumbafu
  6. M

    HLRC kuiburuza serikali mahakamani kuhusu NSSF

    naunga mkono kwa asilimia mia tatu,maana hizi zote ni njama za ccm kutafuta fedha za kampeni.maana upande wa pili tunakubali kukatwa mishahara yetu ili unapokuwa huna kazi zikusaidie. Jk unasainisaini document bila kuangalia mbele we ndiye mwenye mikataba yetu na mungu? Kama mbwaimbwai bwana...
  7. M

    Nape hii ndio sera ya CCM mkuki kwa nguruwe?

    Nape namjua dhaifu sana,kuna siku hakufanya mtihani wa siasa kipindi tunasoma,akajifungia chooni analia kisa kuna Mwalimu alikuwa anamvizia demu wale.
  8. M

    Katibu Mkuu BAVICHA amshindilia kaa la moto Mwigulu Nchemba na Nape

    BAVICHA kazeni mikono, tupo nyuma yenu kwani naamini nguvu ya uma ndiyo ya umoja,hakuna kuogopa.We are beleving to "CHEVEGUARA" who says that, Impacts leading to Revolution.
  9. M

    Jinsi ya kuchonga SMS kama ushahidi kwenye kesi mbali na kifaa anachosema Mabere Marando

    Right kabisa,mkuu maana hata mimi nilikuwa nadought inakuwaje,ila kwa maelezo nimepata mwanga wa 100% CDM tuna vichwa sana.
  10. M

    Mabere Marando asema Meseji zilizodaiwa kutumwa kwa Mwigulu ni za kuchonga!

    Alidai mjengoni kuwa katumiwa msg za vitisho vya kuuawa na CDM.hukuwepo ulisafiri nini!
  11. M

    Natangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Iramba mashariki.

    Na mimi nafikiria kutangaza nia kwa Bibikiroboto Njombe mnanishauri nini wakuu.
  12. M

    Invitation to all JF members: Debate!

    Very good as we great thinkers it is better to have that such activities so that we can worm up our brain for suddenly question to our members ,b'se I beleave we can have member of Parliaments by 2015. Therefore it is good to be different from Dhaifu especialy Werema and Liwalo na Liwe.
  13. M

    Nape kuwataja wanaoharibu CCM

    Mimi sichangii chochote maana watuhumiwa wamepelekwa mahakamani.
  14. M

    Haya nisemayo ni toka ndani ya NAFSI yangu mwenyewe!

    Mkuu hiyo utachelewa kusahau,mwambie akupe Value 3 na Viroba Original 5,mimi saa hv tayari nina 0izinga 9 na Gongo Sado 1,maana yule Kiroboto Bungeni kaniharibia siku.
  15. M

    Tanzania haiishi vituko: Meli iliyozama haina Ofisi

    Ataziuzulu vp wakati Boti ni ya Ridhiwani
Back
Top Bottom