Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,004
Ni ajabu na kweli. Ni kutoka kwenye taarifa ya habari ya saa mbili usiku TBC1. Ndugu wa Waathirika walipokwenda bandarini Dar, kuulizia Ofisi za meli iliyozama ili wapewe taarifa ya kinachoendelea, ndipo walipobaki vinywa wazi kwa kuelezwa kwamba hawa jamaa hawajawahi kuwa na ofisi na walikuwa wakiwatumia mawakala wasiosajiliwa rasmi kuuza tiketi.
My take: Ndio tunajua kwamba hatuna serikali, lakini hawa wanao-act, tunaomba wasitumalize kabla ya 2015 Siku ya Ukombozi wa nchi yetu.
My take: Ndio tunajua kwamba hatuna serikali, lakini hawa wanao-act, tunaomba wasitumalize kabla ya 2015 Siku ya Ukombozi wa nchi yetu.