Mabala The Farmer
Member
- Jul 10, 2012
- 33
- 8
hajui wala nini. Nape acha kutisha watu. Ndo maana mukama alisema mtoto si riziki huyu hataki kuzingatia alichoambia. 'wewe si tulikuambia Usiende igunga " alipopuuza akakutana na baunsa mmoja
Mimi sichangii chochote maana watuhumiwa wamepelekwa mahakamani.